Recent content by Adiel

  1. Adiel

    Nimetapeliwa Sinza

    Asante sana mkuu
  2. Adiel

    Nimetapeliwa Sinza

    Mkuu Rich pol labda kwa kumsaidia HEKAYA na watu wengine walio na shida kama yake, huo utaratibu wa kwenda kwenye mitandao ya simu inagharimu shillings ngapi?
  3. Adiel

    Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

    Wanapiga kelele utadhani ni wanafunzi wa chekechea, ni aibu sana
  4. Adiel

    CUF haihusiki na njama zozote dhidi ya CHADEMA kwenye sakata la ZZK

    Kama mtatiro alienda kusaini (refer maneno ya lukuvi bungeni)ili tume ya katiba ivunjwe baada ya kuwasilisha rasimu ya katiba atashindwaje kuja hapa jf kusema uongo.
  5. Adiel

    Kuna msemo wa 'Kosa moja halimfukuzi mke' Vs kutimuliwa kwa Zitto na Wenzake.Je, ni sawa?

    Uko sahihi ndugu, Zitto ameanza huu mchezo muda mrefu sana, anaatahili kufukuzwa uanachama
  6. Adiel

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Hivi ni kweli mama yako alikuwa anawatetea mawaziri waliotekeleza operation tokomeza na kutesa raia kinyama?
  7. Adiel

    Mnyika: The majority Political Dream

    Mnyika anajitambua, Zitto akiambiwa wewe ni mwanasiasa msomi halafu akavuta picha ya alipotoka, kichwa kinavimba, kiburi na dharau kibao. CDM kutimua hawa jamaa ni fundisho tosha kwa manasiasa
  8. Adiel

    Mnyika: The majority Political Dream

    Kwa umri ulionao huwezi tofautisha taasisi na mali ya mtu binafsi?
  9. Adiel

    Kuna njama ndani ya CHADEMA

    Unataka niongee unachojua wewe au? Hayo ndo matunda ya unafiki na kiburi. Eti unajiita mwana siasa msomi, unajua wasomi walivo wewe? Natumaini umeshajifunza.
  10. Adiel

    Kuna njama ndani ya CHADEMA

    Pole sana Zitto, umevuna ulichokipanda.
  11. Adiel

    Hiki ni kipindi cha heshima kwa CCM, Lowassa lazima arudi baraza la mawaziri ...

    Hii imekuwa basketball au?, mchezaji hata akipigwa sub anaweza rudi tena. Hivi kweli ccm hamna watu wa kuweza kuwa mawaziri hadi lowasa awe waziri tena? Na kwa tabia hii mwakani mawaziri waliofutwa uwaziri kwa sababu ya operation tokomeza watakuwa mawaziri tena ambayo ni dhihaka kwa watanzania...
  12. Adiel

    Ndani ya SCOAN 29 Dec

    MwanaCBE achana na mzee wa upako. Tunatakiwa tuombe Mungu atupe neema ili kuweza kuweza kulibuka daraja ktk 2014
  13. Adiel

    Ndani ya SCOAN 29 Dec

    Ndugu sisi binadamu ni vigumi sana kujua mtu kama ni mnafiki au vinginevyo. It takes a spirit of God to know that. Kibinadamu anaweza kuwa kama unavodhani lakini mbele za Mungu akawa yuko sahihi. Hata hivo "a church is a place where sinner meet for sanctification of their sins"
  14. Adiel

    Ndani ya SCOAN 29 Dec

    Kweli kabisa ndugu, upo sahihi.2014 is the year of destiny
  15. Adiel

    Ndani ya SCOAN 29 Dec

    Jonathan, tatufa dish dogo utapata kitu bila chenga na kama unalo tafuta Fundi akurekebishie, Kinachoendelea sasa hivi kuna mtanzania anaitwa Mohammed ameombewa alikuwa na tatizo la kutokusikia kwa muda wa miaka miwili ameombewa na kupona kabisa
Back
Top Bottom