mnyamiwono
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 708
- 71
Huyu dogo zzk mwisho wake umefika...
Mwacheni zitto kwani mnafikiri bila chadema hatakuwa mbunge?
Huyu dogo zzk mwisho wake umefika...
Pole sana Zitto, umevuna ulichokipanda.
acha ktumika unaongea vitu usivovijua
acha ktumika unaongea vitu usivovijua
MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.
Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.
My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
cdm ya leo sio km ile ya mwanzo hvyo tuwaache na cdm yao bt wajue ya kua ss ndio wapiga kura...
Kwa vile mods wameuacha uzi huu na kufuta nyingine zenye mashiko zaidi; bila hiana wacha tuchangie.MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.
Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.
My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
Usaliti wa Shibuda hauna madhara sana kwenye chama kwani hauna mtandao na hakuna anayeufadhili isipokuwa ni fursa anayoijenga ili kulinda nafasi yake ndani ya CCM; Ikumbukwe CDM aliingia kufata upepo na kulinda ubunge wake dhidi ya siasa chafu za wapinzani wake.
Usaliti wa Zitto, unadidimiza chama na kurudisha nyuma harakati za ukombozi; hapo kama una akiri timamu lazima uchukue hatua.
View attachment 130287Hivi Mzzee wa makomandoo wa Afganstan, Libya ,Irak yuko wapi siku hizi?
Join Date : 4th January 2014
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received 0
Likes Given 16
Hii inaonyesha ni jinsi gani lumumba B7 fc inavyojitahidi kufanya usajili mpya wakati huu wa dirisha dogo.
too lateMODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi) Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti. Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda. My take: usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
well saidMwacheni zitto kwani mnafikiri bila chadema hatakuwa mbunge?
we ndo msemaji wa mbowe n mtei saccosKwa vile mods wameuacha uzi huu na kufuta nyingine zenye mashiko zaidi; bila hiana wacha tuchangie.
Ni hivi Mh. Shibuda ameshakuwa neutralized, hana madhara tena. Upande wa Zitto zilifanyika juhudi kubwa sana kumrekebisha na ilipobidi kumshawishi lakini wapi. Hasa Mh. Mbowe alimbeba sana Zitto akiamini angerudi kwenye mstari.
So each case was evaluated and dealt with individually and separately.
unAongea pumba snKatika jibu sahihi linalomfaa mtoa mada nnaona alizingatie hili bandiko lako hapa ,nnakupa like mkuu.