Kuna njama ndani ya CHADEMA

Kuna njama ndani ya CHADEMA

Mkuu awali nilikuwa naelewa km ww ila nikawa pia nahisi usariti kwa mbali ulohitaji uthibitisho hata juzi niko na wazee furan hv wa ccm tena ni mainformer nikaguswa na cost anaZotumia ZZK cortin nikaropoka "Ila ZZK wanamgarimu sn kwny hii kesi" wazee mainformer wa ccm wakanicheka sn nakuropoka garama za ccm hzo yy hana chakugarim hapo na tena analipwa hapo kwa mda anaotumia mwingne akadakia huyu kijana vp haelewi hata hyo kesi imedraftiwa na Jaji wa ccm kumpa Msando,,, Frm dat point nw nimeamin mengi sn ya usarit wa Kabwe hata zile billion amekula kweli nw yupo kuvurugga chama mahakamani na c kngne,,,kwa hili la Kabwe ss niko tayar kwa kujiamin kucmama popote kuongelea usarit wke,,,na kesho nitaendelea kuwachimba sn hawa mainformer wa ccm ntajua,,,,

Kiswahil hujui hao wazee ulkutana nao wapi?wachumia tumbo mnajua kujitangazia umaarufu wa kibwege nyie
 
Usaliti wa Shibuda hauna madhara sana kwenye chama kwani hauna mtandao na hakuna anayeufadhili isipokuwa ni fursa anayoijenga ili kulinda nafasi yake ndani ya CCM; Ikumbukwe CDM aliingia kufata upepo na kulinda ubunge wake dhidi ya siasa chafu za wapinzani wake.

Usaliti wa Zitto, unadidimiza chama na kurudisha nyuma harakati za ukombozi; hapo kama una akiri timamu lazima uchukue hatua.
 
Mbona kuna tofauti kubwa tu, zitto ni mtendaji wa kuthoofisha chama chinichini na shibuda yeye ni mropokaji tu giza likiingia anapotezea yote yale yuko kimaslahi.
 
wewe naona chadema ni kama mke mwenza wako...njoo uolewe chadema ili uwe na sababu ya kujishebedua
MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.

Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.

My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
 
Kamati mbona hadidu rejea mh shibuda hayupo mnamuonea zito kwa kuwa yeye ni tishio kuliko shibuda ???

Zitto ni tishio sana kwa CHADEMA akiachwa bila kufukuzwa historia ya CHADEMA itabadilika na kuwa marehem CHADEMA.
 
Ha ha ha ha ha haaaa ha ha haaaa dah nimecheka mpaka basi duh hakika nimeongeza siku zakuishi.
 
Wewe ndiyo mpuuzi unaburuzwa hata hujielewi bavicha wa ajabu kweli nyie.
MJEPU haujambo? Nakujulisha siyo kila anayevaa kanzu ni sheikh na siyo kila mpinga CCM ni BAVICHA amka kijana.
 
Last edited by a moderator:
1388930851105.jpg 1388930914503.jpg
 
Mkuu awali nilikuwa naelewa km ww ila nikawa pia nahisi usariti kwa mbali ulohitaji uthibitisho hata juzi niko na wazee furan hv wa ccm tena ni mainformer nikaguswa na cost anaZotumia ZZK cortin nikaropoka "Ila ZZK wanamgarimu sn kwny hii kesi" wazee mainformer wa ccm wakanicheka sn nakuropoka garama za ccm hzo yy hana chakugarim hapo na tena analipwa hapo kwa mda anaotumia mwingne akadakia huyu kijana vp haelewi hata hyo kesi imedraftiwa na Jaji wa ccm kumpa Msando,,, Frm dat point nw nimeamin mengi sn ya usarit wa Kabwe hata zile billion amekula kweli nw yupo kuvurugga chama mahakamani na c kngne,,,kwa hili la Kabwe ss niko tayar kwa kujiamin kucmama popote kuongelea usarit wke,,,na kesho nitaendelea kuwachimba sn hawa mainformer wa ccm ntajua,,,,

Huyu dogo zzk mwisho wake umefika...
 
jibu hoja kama ni usaliti angekuwa shibuda alikataa kutoka katika kumsikiliza rais bungeni, alienda kwenye sherehe ya kumpongeza raisi kushinda, amewakosoa viongzoi wa juu tena hadharani nje a vikao je kamati kuu mbona hamkuchukua uamuzi wowote hata karipio tu?? je usaliti wa zito ndio umezidi kuna agenda y siri kwamba viongozi wa juu walikua wanamtaget zito ili wamfukuze hoja ya usaliti ni kini macho kama mwerevu ataelewa ila kwa mburula atabalki kuleta matusi

Io ndio demokrasia iliyo ndani ya chadema. Tofautisha anayetoa mawazo yake na anaejenga makundi ndani ya chama. Yaani anaetaka chama kigawanyike vipande vipande. Chadema imekamilika usifikirie wanarukia mambo. Zitto angekuwa muungwana pamoja na kashfa za kuzuia baadhi ya wagombea wa chama ili wale wa ccm wapite bila kupingwa, kugundulika na chama. Angetulia na kuachana na mambo mengine ya kutaka kukisambaratisha chama. Angejirudi na kuimarisha chama, kwa mtazamo wangu na nimewai kueleza uko mwanzo. Zitto ndie angekuwa mwenyekiti wa chadema 2020 na ni Zitto angekuwa mgombea wa urais wa chadema kwa mwaka huo 2020. Tatizo la Zitto ni tamaa na kutokuwa mvumilivu ndio chanzo ya yote haya. Hivyo Zitto asimlaumu mtu yeyote ktk chama ajilaumu yeye mwenyewe, kama chama wamemwonya na kumvumilia sana na hata viongozi wenzie hawapendi kiondoka kwake kwani alikuwa myu muhimu sana kwenye chama ila matendo yake na tamaa ndio tatizo ya zitto
 
Amleta uzi unahaha sana na kutalalika.
Hujapata sehemu tu ukataga?
 
MH SHIBUDA akihojiwa hot mix alisema wazi kwamba chadema sasa haina tofauti na ccm katika utoaji wa maoni je huo sindio usaliti je kamati kuu hamkuangalia kipindi cha EATV au umekaushia kwa kua is not man u r interested with hii ni doublestandard

jitambue wewe. Zzzk ni msaliti lakini shibuda ni kichaa
 
siasa za ukanda, ukabila,majivuno, ubaguzi,ubabe zina mwisho
 
hakika zito anatolewa kafara kwa sababu ya posho, uenyekiti, matumizi mabya ya rasilimali za chama alizokua akihoji suala la usaliti ni kama waingereza wanavyosema give a dog a bad name in order to kill it, kwa wanapenda sana mbwa hivo kumuua lazima useme anakula vifaranga nk je kamati kuu mbona shibuda muda wote mmemuacha ni kwa kuwa hazuii mirija yenu, vilevile mnamuona sio threat, waraka wamabadiliko walioandaa wamekiri wazi zito hahusiki mnakazania tu je kwann tusiamini kwamba kuna hidden agenda na si usaliti

Pole sana Zitto, umevuna ulichokipanda.
 
Back
Top Bottom