Ndio,uongozi wa wilaya ya Nzega unafaham jitahada na changamoto za vijana hawa,pia wamekwenda taasisi nyingi sana za fedha bila mafanikio kwani bank nyingi za hapa nchini hazitoi mikopo sekta ya madini hasa katika level hii ya SME
Hapana hawa vijana wame advance kutoka huko kwenye kuchimba kwa zana duni hadi kujenga hicho kiwanda cha kuchenjua dhahabu,hawa vijana wao wananunua michanga kutoka kwa wachimbaji wadogo naku-process kwenye kiwanda chao so hawa vijana kwa namna moja au nyingine wana-suport pia juhudi za...
Changamoto kubwa ni mtaji wa kuanzia uzalishaji kwani ujenzi umekamilika,mtaji wanaohitaji ni kwa ajili ya ununuzi wa mabaki ya mchanga kwa wachimbaji wadogo(takribani tani 2,000),usafirishaji kwenda kiwandani,kemikali zinazotumika kuchenjulia na gharama za uendeshaji kama chakula,mafuta ya...
Ni jambo jema kwakweli kuona vijana wetu wanajituma na kujiongeza namna hii,biashara ya dhahabu ni nzuri hasa uchenjuaji kwani tayari unakua umepunguza risks nyingi sana...
Ni vijana watano wahitimu wa vyuo vikuu waliojiajiri.
Safari yao ya ujasiriamali ilianzia kwenye kilimo. Mwaka 2015 walafanikiwa kusajili kikundi cha Nzega Agribusiness Association(NAA) wilayani Nzega. Walianza kwa kulima mtama mwekundu katika wilaya ya Igunga ambapo walilima jumla ya ekari 70...
Habari wadau,
Ningependa kufahamu ni aina gani ya vitambaa bora zaidi vinavyotumika kushonea nguo hasa suti za kisasa na nguo nyingine zinazo tamba kwa sasa...
Kwa wadau wa fassion na yeyote mwenye ufaham tafadhali naomba msaada.
Ni maajabu "jambazi" ambae hana silaha alitaka kuvamia gari lililokua linasambaza pesa huku likilindwa na askari wenye silaha...alafu yanatoka majibu mepesi kabisa kwa sintofaham kama hii
Bado kuna tatizo hapo,haiwezekani pesa niliyokatwa kwa "lazima" (kwa mujibu wa sheria)...ninapoihitaji napewa masharti...suala la kuacha kazi lina sababu nyingi,waache urasimu watoe pesa kwa wote!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.