Huoni ufisadi wa Dj mbowe, Silaha ya kula mamilioni ya pesa za sabodo za visima. Kula rambirambi za marehemu Arusha na iringa pia wanalipana posho wao tu je? Viongozi wa mikoa na wilaya wanalipwa sh ngapi?
Viongozi wa juu wa chadomo hawawezi kukubali wapoteze muda wao pesa zao na hata nguvu zao maana wao wapo kimaslahi zaidi kwa hiyo walichogundua kuwa Lushoto hakuna vibaka wazoefu kama Arusha na Mbeya kwa ajili ya kufanya fujo
Yanapomuhusu Dj Mbowe ni mambo binafsi ila yapomuhusu Kapuya ni ya kitaifa. Tunaacha kuelewa kuwa viongozi wooote ndiyo kioo cha jamii na chama chake. Ila kwa chadema hiyo ni tabia yao maana katibu kachukua mke wa Mtu Mwe.yekiti kachukua pashkuna na kaiacha familia yake
Kweli usilolijuwa usiku wa kiza yosepher ni mtoto wa genge na mpenda maendeleo ya kweli na ndiyo maana havurugi kwao kwa matusi wala kashfa kwani anaelewa kesho.................. nyumbani
Ndio anao uwezo binafsi wa kuchimba na kuwahudumia wananchi wake kwa gharama nafuu na tena amechimba akiwa bado hajawa mwenyekiti. Je? Dj. Mzee wa gongo na jambazi wamechimba wapi? Kwa kutumia pesa ya sabodo
Wooote uliowataja wanakuona tobwe maana bei ya umeme mi dezo, alafu nani? Aingie mtaani kwa manufaa yako walipigana mababu zamani sasa hivi kazi kwanza ugomvi baadae upo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.