Chadema ni msingi muheza kumekucha!

Chadema ni msingi muheza kumekucha!

MBONA VISIMA VYA SABODO HATUVIONI hapa Muheza hata kimoja NA PESA WALIPEWA Dj, Mzee wa gongo, na jambazi la arusha

Vya huyo jamaa hapo karibu na ferri mwenye kifafa cha mimba anaanguka anguka hovyo umeshaviona. Mmxxxiiiu. Linchi maji hamna umeme hamna mnaongea shit hapa.
 
Hongera ni sana makamanda,pigeni kazi,tupige kazi huku tukifukuzana na muda tuachane na story za wasaliti kina ZZk na timu yake.
 
Makamanda wa chadema ni msingi muheza leo wapo kata ya ngomeni kijiji cha mkanyageni zoezi la chaguzi za msingi zinakwenda vyema,.makamanda wengine wapo kata ya mlingano kijiji cha mlingano eneo la kizota wanachama wamejitokeza kuchukua fomu za uongozi wa chadema ngazi ya msingi na kata,hakuna kulala mpaka wang'oke ccm
Magamba wamepata wagombea kweli?
 
poor ccm yan swal la uhab wa maj hap muhez ndo agenda yao kil mwk yan nakerwa wat kufany hudum z kijmii km maji kuwa mtaaji Yan wanaoshi Muhz wanaelewa mana maji yanauzw because its scarcity created by these poor politicians .
 
mwenyekiti wa kijiji cha genge mbona ana kisima lkn anauza maji?

Ndio anao uwezo binafsi wa kuchimba na kuwahudumia wananchi wake kwa gharama nafuu na tena amechimba akiwa bado hajawa mwenyekiti. Je? Dj. Mzee wa gongo na jambazi wamechimba wapi? Kwa kutumia pesa ya sabodo
 
genge makamanda akina yosepher wapo wanapiga kazi

Kweli usilolijuwa usiku wa kiza yosepher ni mtoto wa genge na mpenda maendeleo ya kweli na ndiyo maana havurugi kwao kwa matusi wala kashfa kwani anaelewa kesho.................. nyumbani
 
Back
Top Bottom