Hivi mh. Mbowe umeturogea wapi wanaCHADEMA

Hivi mh. Mbowe umeturogea wapi wanaCHADEMA

SAM_1991.JPG
DSCN9446.JPG
Hili ndio Lengo la kufanya hii mikutano, na Lengo lingine ni kupata picha kwa ajili ya kuwaonyesha wafadhili wakuu(CDU) kuwa chama kiko active.
 
Juzi mwenyekiti wetu wa taifa mh.Mbowe ametangaza operesheni ya wiki mbili ya operesheni pamoja.inajulikana wazi kwamba operesheni hiyo itanufaisha viongozi wachache wa juu wa chama.na sisi kama wanachama hatuwezi kuhoji.sasa sielewi hatuhoji kwa sababu ya mapenzi ya kupindukia ya chama au viongozi wa juu wa chama akiwemo mwenyekiti ameturoga.Najua nitatukanwa matusi mengi kutoka kwa wanachadema wenzangu kwani sisi tunajulikana kwa hilo.jamani wanachadema tubadilike tuhoji matumizi mabovu ya fedha za ruzuku.

Kwa kuwa mmezoea kutusi wengine wanapoleta mawazo mazuri humu jamvini unadhani kuwa kuna mwana CDM atakaye kutusi. Wala usiogope. CDM tumekua, tukiangalia thread tu hivi, tayari tunaijua ilipotoka na nia ya hiyo thread ni nini. Mfano, nyie mbigili wa ccm mnadhani kuwa kitu pekee kitakacho tuchonganisha na uongozi wetu thabiti ni kudai ruzuku ya chama imeenda wapi. Hivi, tujiulize, yaani mnataka kutuaminisha kwamba ni CDM tu wanapokea ruzuku? Mbona kuna vyama fulani, tangu uchaguzi mkuu mpaka leo, hawajafanya hata mkutano mmoja wa hadhara hata wa kuwashukuru wapiga kura wao, hiyo ruzuku yao ipo benki au!! CDM mnasema ati sijui ni operation ya ngapi, mnasema ati zote hizo ni njia ya wakubwa kula hela ya ruzuku, Mnataka watu wakae maofisini au wajenge majengo yasiyosema? Tutazunguka mpaka pale kijijini kwako tumwamshe mzee aliyelala tumwambie kuna chama cha ukombozi nacho kinaitwa CDM. Tumwambie kimekuja kumkomboa kutoka mawazo yake mgando. Ajue chama sio CCM tuu.
Pamoja Kamanda Mbowe, mpaka masiisiieeym wachanganyikiwe kabisa.
 
Hahaaaa wadau hakna kiongozi yeyote wa chama cha siasa mwenye uchungu na WTZ.wote ni wanafiki wapo kipesa zaidi
 
mkuu sabodo alitoa milioni mia akawapa chadema ili wajenge visima vya maji hivi hizo pesa zilipolea wapi make hatujaona kisima hata kimoja kikichimbwa.

simiyu sio mia moja ni mia nne na hakuna chochote mjasiliamali dj mbowe na wenzie tayari wameisha zipiga tumbo kubwa
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.

Acha upumbafff!! Kamuulize Mwigulu na kinana wamewalogea wapi.. Wanachama wa CDM wako nyuma ya Mwenyekiti na Makamanda wote
 
Wewe kwa taarifa yako umelogwa na CCM ambayo inapiga EPA lakini bado unakomaa nayo

Kams ni hivyo CCM ni wajanja, walipiga EPA ili kuhakikidha wanaingia vijijini kuimarisha chama ili kujihakikishia ushindi na wamefanikiwa. CDM iige mfano huo hiyo hela tumieni kuimarisha misingi badala ya kuwaneemesha wachache kwa mgongo wa operationi.
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.

Hamjalogwa,wengi ni wale wa hewala bwana,mazuzu,wavuta bangi,wanywa viroba,waelewa mnawafukuza wanapohoji mambo muhimu ya chama.
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.

Wewe ni mbulula tu wa Lumumba.
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.

Ila watu kama hawa ni punguani sn,acha ujinga ww
 
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.

Na bado wanaendelea kuish geto pale pale waalipopanga??
 
Acha Mbowe aongeze Jumba jingine nje ya Dubai bana! Go Mbowe Go....:
 
Acha Mbowe aongeze Jumba jingine nje ya Dubai bana! Go Mbowe Go....:

Pesa za nyumba za serikali mlupojiuzia mmefanya nini? Na mali za sukita yenu nani kala?....maana lulikuwa shirika la wanachama wote
 
Wote wanaotetea ubovu wa mbowe kawaroga kwa kuzika mbuzi watatu. Mkija kuzinduka yupo Dubai na viti maalumu wanakula burudani. Na nyie mapanya-gongo kwa kwenda mbele. Sijui hamnazo?
 
Juzi mwenyekiti wetu wa taifa mh.Mbowe ametangaza operesheni ya wiki mbili ya operesheni pamoja.inajulikana wazi kwamba operesheni hiyo itanufaisha viongozi wachache wa juu wa chama.na sisi kama wanachama hatuwezi kuhoji.sasa sielewi hatuhoji kwa sababu ya mapenzi ya kupindukia ya chama au viongozi wa juu wa chama akiwemo mwenyekiti ameturoga.Najua nitatukanwa matusi mengi kutoka kwa wanachadema wenzangu kwani sisi tunajulikana kwa hilo.jamani wanachadema tubadilike tuhoji matumizi mabovu ya fedha za ruzuku.
Umesema kweli, ila wenye mahaba nao utawasikia watakavyo KUTAPIKIA hapa.:mod:
 
Back
Top Bottom