MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Juzi mwenyekiti wetu wa taifa mh.Mbowe ametangaza operesheni ya wiki mbili ya operesheni pamoja.inajulikana wazi kwamba operesheni hiyo itanufaisha viongozi wachache wa juu wa chama.na sisi kama wanachama hatuwezi kuhoji.sasa sielewi hatuhoji kwa sababu ya mapenzi ya kupindukia ya chama au viongozi wa juu wa chama akiwemo mwenyekiti ameturoga.Najua nitatukanwa matusi mengi kutoka kwa wanachadema wenzangu kwani sisi tunajulikana kwa hilo.jamani wanachadema tubadilike tuhoji matumizi mabovu ya fedha za ruzuku.
mkuu sabodo alitoa milioni mia akawapa chadema ili wajenge visima vya maji hivi hizo pesa zilipolea wapi make hatujaona kisima hata kimoja kikichimbwa.
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
Wewe kwa taarifa yako umelogwa na CCM ambayo inapiga EPA lakini bado unakomaa nayo
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
Juzi mwenyekiti wetu wa chama amezindu operesheni ya nne kama sio ya tano ya pamoja daima.Tunajua tu kwamba huo ni mradi wa kupiga hela wa viongozi wetu wa juu.Lakina wanachama tunashindwa kuhoji na tunakupongeza mwenyekiti.Hivi mbowe umetorogea wapi wanachadema mpaka tunashindwa kukuhoji?.Kwanini hiyo pesa msingeleta kwenye matawi tukajenga chama huku vijijini?.
View attachment 133905
View attachment 133906
Hili ndio Lengo la kufanya hii mikutano, na Lengo lingine ni kupata picha kwa ajili ya kuwaonyesha wafadhili wakuu(CDU) kuwa chama kiko active.
Acha Mbowe aongeze Jumba jingine nje ya Dubai bana! Go Mbowe Go....:
Hawna lolote wezi wa nchi hawa
Watanzania wanajitambua sasa
View attachment 133905
View attachment 133906
Hili ndio Lengo la kufanya hii mikutano, na Lengo lingine ni kupata picha kwa ajili ya kuwaonyesha wafadhili wakuu(CDU) kuwa chama kiko active.
Umesema kweli, ila wenye mahaba nao utawasikia watakavyo KUTAPIKIA hapa.:mod:Juzi mwenyekiti wetu wa taifa mh.Mbowe ametangaza operesheni ya wiki mbili ya operesheni pamoja.inajulikana wazi kwamba operesheni hiyo itanufaisha viongozi wachache wa juu wa chama.na sisi kama wanachama hatuwezi kuhoji.sasa sielewi hatuhoji kwa sababu ya mapenzi ya kupindukia ya chama au viongozi wa juu wa chama akiwemo mwenyekiti ameturoga.Najua nitatukanwa matusi mengi kutoka kwa wanachadema wenzangu kwani sisi tunajulikana kwa hilo.jamani wanachadema tubadilike tuhoji matumizi mabovu ya fedha za ruzuku.