Yahani ni aibu. Waswahili wanamsemo wao unasema, ukiwa muongo husiwe msahulifu. Mwingine unasema, .njia ya muongo ni fupi. KWELI NIMEAMINI. HIvi bashite ak Makonda amesahau kile alicho kifanya CLOUDS FM . Hamesahau halicho kifanya mpaka NAPE hakasimamishwa na Kwenda zake. Basi kama kutokujitambu...
Ccm bana kinana anasema wasimamizi watakuwa waminifu?. Kumbe wale wakurugenzi tulio aminishwa kuwa ni waaminifu walikuwa wezi. Basi tunaomba atueleze walivyo tuibia
Nimekaa na kutafakari na hadi muda huu sijapata jibu sahihi. Baada tu ya mwenyekiti wa CHADEMA kutangaza maandamano th 24/01/2024, Ni kiongozi wa ngazi ya mkoa (mkuu wa mkoa) anaamuru vikosi vya ulinzi kufanya usafi siku hiyo. Je nani ni amri jeshi wa nchi hii?.
Kumbe shida siyo katiba tu bali...
Wewe unakaa nchi gani?. Ama haufatilii mambo ya nchi hii. Tatizo lenu vijana wa ck hizi ni wavivu hata kufatilia mambo muhimu JE HAUJUI MKATABA WA MWITONGO ?.
Wewe unaotuona watanzania kuwa hatuelewi katiba na inatakiwa tuelemishwe kwa muda wa miaka mitatu. Bila kuhesabu muda waliotumia akina mzee Warioba na bunge la katiba. Mbona serikali haitupi muda sisi watanzania tusioelewa mikataba, huu mkataba wa BANDARI serikali itoe elimu kuhusu huo mkataba...
Mayala rafiki yangu ni kweli kuna mihimili mitatu, yahani , Sarikali,Bunge na mahakama. Hii kwa tanzania ndiyo lakini inabakia kwenye kitabu cha katiba. Kwenye utendaji tanzania ina muhimili mmoja na vivuli vya mihimili miwili. Namaanisha kuwa tuna muhimili wa Serikali na vivuli vyake yahani...
Mimi nikitafakari nakosa jibu, hivi nchi hii kwanini tunapata watawala wa hivi. Tangu ukoloni hadi karne hii. Niko mtoto tulisoma historia kuwa chifu Mangungo aliuza kisiwa kwa kitambaa cha kuzunguka kisiwa. Na hicho kitambaa ilikuwa si kwa ajili ya wananchi ball chake na wapambe wake. Mimi...
Ndugu chazo cha utawala ni MUNGU na alikuwa na makusudi yake kuweka watawala na manabii .Na manabii kazi zao ni kuakikisha mtawala anatawala kama vile MUNGU anataka watu wake watawaliwe. Nakuomba usome biblia 1samweli 8 na alipokuwa mzee, aliwafanya wanawe wawe waamuzi juu ya Israeli.
2 Na jina...
HAKUNA UCHAGUZI TOKA 2020 MPAKA 2025.
Bunge la ccm linalopitisha kila kitu . Hayo yote ni matunda ya dhuruma. Na Magufuli watanzania hatutamsahau kwa kuminya demokransia na tune guru ya uchanguzi leo tuna bunge la ajabu na spika kituko. Tangu lini hasiyechaguliwa akawahehimu wananchi? ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.