Recent content by adam junior93

  1. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo na Prof. Kabudi waitembelea kambi ya taifa stars Misri na kuwakabidhi bendera ya taifa

    Kwamba walisahau kubeba bendera kipindi wanaondoka😂🤣🤣🤣?
  2. adam junior93

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Harmonize: Mimi siwalaumu mashabiki wanakataa kushiriki kwenye show, watu wanamaumivu na kilichotokea

    Nmeishia hapo kwenye December 29🤣🤣🤣🤣
  3. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?

    Wajaluo.... Ani niliachanishwa kwa nguvu zote na huyo mwanamke wa kijaluo.
  4. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Huyu hapa anayetazamiwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza mwenye Asili ya Asia

    wazazi wake ni wenye asili ya India,walihamia Uingereza miaka ya 60' wakitokea Afrika mashariki...huenda bas ikawa Tanzania... according to wikipedia.
  5. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kupata mafao ya kuacha kazi NSSF?

    Kwa mfano niliondoka kazini kinyemela zaid ya miaka mi3 bila taarifa(barua) wala nyaraka yoyote(serikalini),nikirudi si ntakuta barua yangu ya kuachishwa kazi...? Maana nilishatolewa hadi kwenye payroll zaidi ya miaka miwili sasa',lakini sijawahi kufanikiwa kurud halmashaur niliyokuwa nafanyia kazi
  6. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amewasili Jijini Dodoma jioni ya Septemba 8, 2021

    Hawajakosea kumuita Hangaya....kazi yake ni kuhanga hanga 2....sijui anapata wapi muda wa kupanga mambo ya kulipeleka taifa mbele....
  7. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amewasili Jijini Dodoma jioni ya Septemba 8, 2021

    Huyu Hangaya huyu....haya bhn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

    Yeah I know the guy though c kiundan saana,tumepiga nae hizi mbanga za dhahabu pande za makongorosi Chunya,
  9. adam junior93

    JamiiForums Tanzania SoC01 Ondoa hofu, anza sasa kuthubutu

    Ushapata dadaa
  10. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali

    Ndo ki2 pekee huyu maza anakiweza.....2025 ifike chap akapumzike.
  11. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Napendekeza barabara ya Morogoro ikikamilika ipewe jina la Hayati Magufuli

    Damn....i miss this man so much... Pumzika Jembe.
  12. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Kilio dhidi ya Spika Ndugai ni kikubwa kuliko kwa DC Sabaya. Je, siku za Ndugai nazo zinahesabika?

    Kuna hoja zingine kama GT unapaswa kufikiri kwanza kabla ya kuja kuchapisha humu jamvini,Bunge si mhimili unaojitegemea,Rais anapata wapi mandate ya kumtumbua [emoji536] [emoji344]!!?
  13. adam junior93

    JamiiForums Tanzania UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

    Kwani hasara ya hii superleague ni ipi hasa....football is all about money,kama vilabu vimeona fursa,kwanini kuwe na nongwa sasa?
  14. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Mhandisi Mkazi, Upembuzi yakinifu wa 1980 unatumika bwawa la JNHPP

    Who are these people?
  15. adam junior93

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

    Mimi mkatoliki mwenzangu hata afanye madudu gani, hata aseme pumba gani, as long as ni mkatoliki and is at whelm, hata sijishughulish kumfatilia...nawaaamini sana hawa ndugu zangu katika bwana.
Back
Top Bottom