Recent content by Adala

  1. A

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    Hayo ndio madhara ya mzazi kuwa mkali hadi kupitiliza. We mwenyewe unajiona unajua kweli kulea kumbe unaharibu. Tusichape watoto kupitiliza. Njia nzr ya kumwonya mwanao ni kuzungumza nae. Atakuelewa tu
  2. A

    Wake zetu toeni woga tukiangalia ''zigo'' tumeumbwa kuangalia

    Nacho amini mimi mwanaume rijali lazima atapepesa macho!.... Mi hainisumbui. Aangalie tu.
  3. A

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Mama jirani analalamika mumewe mvivu wa kuoga ati anadai wao ni mwili mmoja kwa hiyo kila siku anaoga badala yake
  4. A

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kwenu wapiiii. Mi kwetu dar!
  5. A

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Unapoomba balance kwa kutumia sim banking majibu yasije kama popup msg. Naomba kupokea jibu la balance kama msg ya kawaida ili nikitaka ku save niweze. Fanyeni kama ukiwa unauliza tigo pesa balance
  6. A

    Kwanini viongozi wa Serikali Wakristo huvaa Kiislamu?

    kanzu ni vazi la ibada tofauti ya matumizi.kwa wakristo kanzu inavaliwa na waongoza ibada.kwa islam kanzu inavaliwa na yoyote mwenye kupenda
  7. A

    Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

    ni wewe mwenyewe hukutaka kujipanga kabla ya kuoana.mlitakiwa mjadiliane malengo yenu ya kimaisha yatakuwaje.kama ulimwonyesha kwamba unayaweza yote wewe mwenyewe,basi mkeo akaona haina haja ya mchango wake sasa kaa nae kwq upole elimishaneni kwa utaratibu na sio amri au kususiana.kila mtu...
  8. A

    Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

    Namkumbuka mwalinu ndossy... Muhimbili primary. Akikohoa tu shule nzima kimyaaa.korokodilo.... ndio tusi lake. Mkaliiii aisee. Fimbo zake akikupiga lazma mikono upitishe kwenye matundu ua ukuta ka umekumbatia ukuta Ila alisaidia sana kufaulu
  9. A

    utaratibu wa kulipizia sikukuu zinazoangukia weekend kurejeshwa

    Utaratibu wa kulipia ckukuu zilizoangukia wk end ni mzuri sipokuwa maamuzi yasifanywe ghafla kama ya leo. Umeniharibia ssana bajeti.yaani na kesho mchana chakula tunapika cha watu 10 kama leo looo na jumanne tena duuu. Ingekuwa ni siku ya kazi nyumba yng hakipikwi mchana hakunaga watu wa kula...
  10. A

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Pinda nae aweke mguu sawa,jk akurudi atamng'oa.
  11. A

    Mkeo wa Kesho

    [. Ukitaka aliye tulia,tulia wewe kwanza. :target::target::target: Yaaani haswaaaa
Back
Top Bottom