Jamaa mmoja anaitwa bob marle nimesoma naye kilema primary sema yeye alinitangulia madarasa mawili na alikuwa muhuni na jambazi na alitoka jela mwaka jana mwez wa 10 au 11 na mwingine ni jose amezaa na mtoto wa baba yangu mkubwa, huyo jose ni mtu wa rombo na alihamia kijiji kilema kama dereva...
yani wewe nikiazi tena kiazi kilicho kufa hata ukipike vipi hakiivi yani chadema tumanye vurugu wakati tunajua kila kitu ni chetu yani hapo nimuda wako 2 umepoteza kupost hakuna anaye danganyika na hzo bukusaba zenu m nimekula na bado kura hakuna mafisadi wakubwa nyie. Pia 2015 mlete tena but...
Kwani polisi ni kina nani? Wao wana sapot serekali lakn na inani ipo shku hayo mabom ya machozi na majiya kuwasha yatawaishìa maana sasa nimapambano mwanzo mwisho hakuna kurud nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.