Ila nna shoga angu..mume wa mtu alianza kulala sikumojamoja..ikaja wiki..now miez yuko kwake..alimpangia chumba sasa kampangia bonge jumba kimara .na kaz kamtafutia na sasa a
Binafs nlishawah date na mume wa mtu tena hta hakua mbaba...ni kjana tu .na mbya zaid alikua anasema madhaifu ya mkewe..heh si ndio nkafanya advantage..yule mwanaume alikua tayar kumuacha mkewe..ila nliwaza sana..malipo dunian akhera mahesabu nmemfanyia mwenzangu leo kesho kwangu......nanyie...
Habari wana jf...naamin wote wazima na mwaendelea vema kusukuma gurudumu la taifa ...mimi ni binti nilieamua kujiajiri..nashughulika na mapishi aina yote..napika vyakula vya kila aina..naomba msaada wenu kama kuna mtu ana kampuni ama familia au yeyote mwenye kuhitaji vyakula kuanzia asubuh hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.