Recent content by achiever

  1. A

    Mahusiano na mume wa mtu ni shughuli pevu

    Ila nna shoga angu..mume wa mtu alianza kulala sikumojamoja..ikaja wiki..now miez yuko kwake..alimpangia chumba sasa kampangia bonge jumba kimara .na kaz kamtafutia na sasa a
  2. A

    Mahusiano na mume wa mtu ni shughuli pevu

    Binafs nlishawah date na mume wa mtu tena hta hakua mbaba...ni kjana tu .na mbya zaid alikua anasema madhaifu ya mkewe..heh si ndio nkafanya advantage..yule mwanaume alikua tayar kumuacha mkewe..ila nliwaza sana..malipo dunian akhera mahesabu nmemfanyia mwenzangu leo kesho kwangu......nanyie...
  3. A

    Hasira kwa mpenzi wangu zimezidi

    Hta mim usiponchck 2days hyo ni kesi..tena nakupa mnuno wa buku 10..ubiz huo vipi!! Ulikua waumba mtu au......ila ongea vzur na mpenzio muyamalize
  4. A

    Nimemchomea mke wangu kazini kuwa anatumia cheti feki

    Teh..mwanamke mbaya hyo ..loh amestahl hyo mateso
  5. A

    Natoa huduma za vyakula

    Karibuni
  6. A

    Natoa huduma za vyakula

    Habari wana jf...naamin wote wazima na mwaendelea vema kusukuma gurudumu la taifa ...mimi ni binti nilieamua kujiajiri..nashughulika na mapishi aina yote..napika vyakula vya kila aina..naomba msaada wenu kama kuna mtu ana kampuni ama familia au yeyote mwenye kuhitaji vyakula kuanzia asubuh hadi...
  7. A

    Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

    Hi guys..eti mkopo nmb unakuaje katika ulipaji wake?na kuna bond yoyote?
Back
Top Bottom