Nina nia ya kuanzisha kikundi cha mazingira siku za usoni kuhakikisha kwamba kila mkazi anakuwa na mazingira yaliyojitosheleza kwa mimea ya matunda,mapambo na mazao ya mbao
Habari za weekend waungwana!
Kuna nyakati tumekuwa na hisia za kujiuliza hivi nikifa leo wanangu wataishi vipi?
Ama ni kitu gani niwekeze kwa faida ya wanangu baadaye?
Magari?
Nyumba?
Maduka?
Akiba benki?
Haya yanaweza kuwa ni baadhi ya majibu ambayo huja kwa haraka sana akilini...
@ryzeragroproducts
ni wazalishaji wa miche aina zote za matunda,maua pamoja na miti ya mbao na urembo...
Miche ya matunda iliopo ni ya muda mfupi kabisa..
Nazi -miaka mitatu@7500/=
Zaituni- miaka miwili@5500/=
Ndizi-miezi 7@4000/=
Fenesi,korosho-miaka miwili@4000/=...
Bwana asifiwe wapendwa.
Tunamshkuru Mungu Ni siku nyingine tuko mbele zake, Ni kwa neema yake tu tunaiona siku ya Leo.
Neno la Mungu leo linatupa tumaini kuwa tukiwa tumempokea Yesu Kristo na kumuamini anatulinda na kutuzungushia ulinzi wake kama mboni ya jicho lake.
Hatuna haja ya kuhofia...
Uko na age 18-20 unasema unataka kusettle down na jamaa ambae atakua future hubby...
calm down sister lazima ukutane na wahuni,
get screwed like shit...
go through some serious heartbreaks....
get dumped hata Mara8 hivi...
Then ukue motivational speaker at age of 30 ndo uolewe,hakuna kuruka...
Hamna,hakutakuwa na tofauti yoyote katika vifo,watu watakufa kama kawaida.
Moyo unawekwa kwa wagonjwa wa moyo tu,kumbuka kuna watu wana mioyo mibovu,hali inayohatarisha maisha yao,kumbuka tundu kwenye moyo,wenye mioyo iliyovimba na kasoro nyinginezo.
Unaweza kufa kwa magonjwa mengineyo kama kawa.
Mipango ya kusadikika unaiona siiiiimple.....saidia ajira au mpe hata Capital usijitie unajua kuongea sisi vijana ndio tunaojua hali halisi ilivyo kitaa...
Mkiwa hamna ushauri mna-mute tu aisee,sio kwamba unachoshauri yeye hakioni,anakiona na uelewe kwamba kwa uwezo wake hajafanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.