Accidental Genius
Senior Member
- Aug 17, 2019
- 154
- 188
Habari za weekend waungwana!
Kuna nyakati tumekuwa na hisia za kujiuliza hivi nikifa leo wanangu wataishi vipi?
Ama ni kitu gani niwekeze kwa faida ya wanangu baadaye?
Magari?
Nyumba?
Maduka?
Akiba benki?
Haya yanaweza kuwa ni baadhi ya majibu ambayo huja kwa haraka sana akilini mwetu,lakini uhalisia ni kwamba ARDHI ndiyo urithi wa THAMANI tunaoweza kuwaachia vizazi vyetu vijavyo.
Ardhi hupanda thamani kila kukicha na ile iliyoendelezwa ndiyo huwa na thamani maradufu.
Tunaweza kuendeleza kwa kuweka vitegauchumi katika arthi husika,vyaweza kuwa majengo ama mazao ya kilimo.
Leo nitajikita katika MAZAO YA KILIMO,nazungumzia MATUNDA mbali mbali tunayoweza kupanda na yakatunufaisha sisi na vizazi vyetu kwa kuongeza thamani ya ardhi yetu.
Tuoteshe matunda kwa wingi msimu huu wa mvua kwa faida yetu wenyeww na vizazi vyetu.
Vilevile kwa wenye ndoto za kuwa wakulima siku zijazo wanashauriwa kupanda matunda katika shamba la mfano ili kujipatia uzoefu wa kilimo cha MATUNDA na masoko.
Nawaletea MICHE YA KISASA ya matunda ya kila aina,.
@NI MICHE ISIYOCHAGUA ARDHI NA HALI YA HEWA.
@NI MICHE INAYOZAA NDANI YA MIAKA MIWILI TU INAZAA MATUNDA MAKUBWA NA MENGI.
Miche INAYOSTAHIMILI MAGONJWA YA AINA MBALIMBALI.
@KUTOKANA NA KUCHUKUA NAFASI NDOGO INAWEZA KUPANDWA NA KUPENDEZESHA ENEO LA MAKAZI HUKU IKITOA MATUNDA.
MCHE MMOJA NI TSHS 4000 TU HUKU MNAZI UKIWA 8000 NA MZEITUNI 6000.
Tunakuletea kuanzia miche 5.
NDANI YA MOROGORO UNALETEWA KWA GHARAMA ZA USAFIRI TSHS 8000 HUKU NJE YA MKOA WA MOROGORO UKILETEWA KWA TSHS 15000 kama GHARAMA ZA USAFIRI.
MALIPO NI BAADA YA KUPOKEA MZIGO UKIWA SALAMA SALIMINI.
SMS TO 0677421378(SMS TU) ULETEWE POPOTE TZ.
Kuna nyakati tumekuwa na hisia za kujiuliza hivi nikifa leo wanangu wataishi vipi?
Ama ni kitu gani niwekeze kwa faida ya wanangu baadaye?
Magari?
Nyumba?
Maduka?
Akiba benki?
Haya yanaweza kuwa ni baadhi ya majibu ambayo huja kwa haraka sana akilini mwetu,lakini uhalisia ni kwamba ARDHI ndiyo urithi wa THAMANI tunaoweza kuwaachia vizazi vyetu vijavyo.
Ardhi hupanda thamani kila kukicha na ile iliyoendelezwa ndiyo huwa na thamani maradufu.
Tunaweza kuendeleza kwa kuweka vitegauchumi katika arthi husika,vyaweza kuwa majengo ama mazao ya kilimo.
Leo nitajikita katika MAZAO YA KILIMO,nazungumzia MATUNDA mbali mbali tunayoweza kupanda na yakatunufaisha sisi na vizazi vyetu kwa kuongeza thamani ya ardhi yetu.
Tuoteshe matunda kwa wingi msimu huu wa mvua kwa faida yetu wenyeww na vizazi vyetu.
Vilevile kwa wenye ndoto za kuwa wakulima siku zijazo wanashauriwa kupanda matunda katika shamba la mfano ili kujipatia uzoefu wa kilimo cha MATUNDA na masoko.
Nawaletea MICHE YA KISASA ya matunda ya kila aina,.
@NI MICHE ISIYOCHAGUA ARDHI NA HALI YA HEWA.
@NI MICHE INAYOZAA NDANI YA MIAKA MIWILI TU INAZAA MATUNDA MAKUBWA NA MENGI.
Miche INAYOSTAHIMILI MAGONJWA YA AINA MBALIMBALI.
@KUTOKANA NA KUCHUKUA NAFASI NDOGO INAWEZA KUPANDWA NA KUPENDEZESHA ENEO LA MAKAZI HUKU IKITOA MATUNDA.
MCHE MMOJA NI TSHS 4000 TU HUKU MNAZI UKIWA 8000 NA MZEITUNI 6000.
Tunakuletea kuanzia miche 5.
NDANI YA MOROGORO UNALETEWA KWA GHARAMA ZA USAFIRI TSHS 8000 HUKU NJE YA MKOA WA MOROGORO UKILETEWA KWA TSHS 15000 kama GHARAMA ZA USAFIRI.
MALIPO NI BAADA YA KUPOKEA MZIGO UKIWA SALAMA SALIMINI.
SMS TO 0677421378(SMS TU) ULETEWE POPOTE TZ.