Tafiti hiii mmmmh naiona kama ya kubusti mawazo ya wasio na elimu.weweee tumekosa elimu ila trip hii tumestuka na tumeamua kumchagua lowasa..aiwezekana lowasa ashuke umaarufu kiasi icho ghafla namna iyo.na kumpandisha magufuli kwa speed iyo weeeee..lowasa mara zote mmempambanisha na wanasiasa...
Ukiskia dharau ndio hiyo.yaani ukiwa na maisha ya chini unaonekana una elimu.ujitambui au..!!bac poa cc malofa wakina baba kayumba.tunataka kufanya mabadiliko ya kiutawala ktk taifa ili..Rais wetu mazoba ni Lowasaaaaaaaa....
Gwajima mbona kaeleweka wenye akili tumemuelewa..nani alikuambia kuwa ukiwa kiongozi wa kiroho ufai kuwa mwanasiasa..mchungaji kiongozi mama lwakatare.ni mbunge viti maalum ccm...unamshangaa ngwajima mshangae jk aliemteua uyu mama kuwa mbunge wake...Dr.Slaaa anamizigo kapewa na ccm na gwajima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.