kama kuna kitu hatari katika uchumi wa nchi basi hii michezo ya bahati nasibu ni namba moja.
katika michezo hii hakuna faida yeyote inayorudi katika jamii,bali tu pesa zilizopo mikononi hukusanywa na mjanja toka kwa watu wengi,kisha kuwapa wachache kichache na yule mjanja kubakia na kingi.
Nikupongeze sana mleta mada kwa kupata wazo hilo.
lakini ninaomba nikuambie kuwa hicho ulichofanya mpaka sasa ni kuwa tu na wazo la biashara,unahitaji kupata muda wa kutosha kwa ajili ya kuiplan vizuri hiyo idea yako nzuri.
Angalia vitu 1. huduma ambayo utaitoa sasa na baadae.
2.gharama...
ni sahihi kisheria za tanzania kikao hiko kufanyikia ikulu kwa sababu nyingi tu,baadhi ni zifuatazo
1.hakuna sheria inayokataza vikao vya vyama ikulu
2.asilimia kubwa ya wajumbe ni wenyeji hapo ikulu
3.muongozaji kikao anapatikana hapo
NB: lakini ukitafutwa usahihi wa kibusara,utawala bora na...
utapata kuku mwenye sifa za wazazi wote.hili swali lako linajibika kivitendo zaidi,songa mbele,cross hao kuku then tuone unapata nini,hapo ndipo jibu la uhakika litapatikana
anajiandaa kulalia huyo,toa mayai muachie matatu mpaka atakapochanganya kulalia,pia muandalie sehemu nyingine nzuri ya kulala,kuku hata asiyetaga anapenda kulala kwenye kiota kizuri
Habari zenu wakuu.
Poleni sana kwa huzuni mliyonayo kuhusu makinikia. Ama baada ya hayo nije kwenye mada.
Nina nia na dhamira ya kutekeleza mradi wa ufugaji wa mbuzi wa kisasa wa maziwa, hivyo basi ninaomba msaada wenu wa taarifa juu ya sehemu ambapo nitaweza kupata mbegu bora ya hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.