Kwa maoni yangu ni vyema uwe unamshirikisha mzazi katka migogoro ya ndoa ili akushauri kama mzazi
Tafiti zimeonyesha wanaume wengi wanakufa kutokana na kuzidi kwa kero za ndoa anakua na kinyongo kila siku halafu hakuna hata wa kumueleza kwa kuhofia kutoa siri za ndani matokeo yake anapata...
Wadau habar za pilika
Iv ni Chanel gani kwenye Star times ipo kiromatic unaeza hata kukaa na mwenza wako mkjifunza mmbo flan ya kuimarsha relationships
Wanaume bhna sjui kwann tuko ivi yani kiukweli wanaume wengi hupenda wake zao wavae vizuri yaani isiwe nusu uchi but akikutana na alievaa nusu uchi humtamani balaa
Habari wana jf
Kuna huu utafiti uliofanywa na wataalam ikiwa ni katka kujua sababu ya tatizo linalozidi kukua kla sku la upungufu wa nguvu za kiume mambo ni mengi yanayoweza kusababisha shida hiyo ikiwa ni pamoja na life style yetu
But hapa nazungumzia moja tu ambalo limesemwa pia ni source ya...
Hongera mkuu umepiga hatua but kwanza nikushauri kitu unafanya mambo mengi kwa wakati mmoja hutakua na ufanisi vizur ni bora nguvu zote ungezikusanya sehemu moja
Pili nimefanya pia kazi ya duka kwa experience kazi ya duka inafaida ndogo sana hivyo inahitaji uaminifu wa hali ya juu mfano vocha...
Hii cio kweli mkuu take home yangu ni 400000's na nmesema staki kuchukua mkopo nkaondoka mana cpendi kukaa nawaza ivi watantafta au hawatantafta stakua huru naitaji kuwa free
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.