Ahsante...!!! Hata mm nlikuwa najiuliza, jamaa shuleni kwake kapewa Tsh 71,000/- Nusu yake 35500/- Kuwalipa walinzi, mitihani ya mock, muhula na wiki, ukarabati, posho, kununua karatasi, maandalio ya somo, chaki, umiseta, kulipia ukaguzi. Halaf nusu nyingine 35500/- Kununua vitabu, vifaa vya...