Recent content by abuuasimwe

  1. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bwawa la Stigler's George ndiyo mradi bora wa wakati wote Tanzania?

    Aisee we ni mweupe Kwa industry ongeza maarifa kaka HEP is the best and cheapest kwa uchumi wa nchi kama hii
  2. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Habari za kazi mimi naitwa justine nakaa mbezi beach karibu na mbezi apartments,kuna jirani yangu anaitwa mziray ukifika mbezi apartments kona ya kwanza kulia nyumba ya tatu haina geti kulia anawaibia maji usiku kwa kukata mabomba na kukinga maji na kutulelea adha ya kutuharibia ukuta,kila siku...
  3. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    jamani toka January 2018 todate umeme.amjafunga nafuatilia majibu yaleyale nguzo na waya inasikitisha kwa kweli issue nadhani ni kuescalate futher
  4. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Dear Tanesco team Thanks for assistance kwa mrejesho ni kabla tar 111/02/2018 surveyor alinipigia club na kuja fanya tathmini na makadirio husika na tar 23/02/2018 nilipata sms kuhusu invoice Lusaka Nina maswali machache kwenu according to REA kuvutiwa umeme.kwa gharama halisi ikiwemo nguzo...
  5. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hello naitwa Justinian Barongo nauliza kuunganishishiwa umeme wa REA inachukua muda gani kufanya survey mpaka kuunganisha Maana Nina nyumba ambayo tayari imefanyiwa mchoro mpaka kufunga wiring kwa kuzingatia vigezo stahiki na fomu niliwaachia Tanesco Bukoba toka Nov 21 2017,ila mpaka Leo...
  6. abuuasimwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki wa kike wa kuchat

    everyone has got its own desire baraza ujui ukifanyacho
  7. abuuasimwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki wa kike wa kuchat

    Hi all, Natafuta rafiki wa kike wa kubadilishana naye mawazo awe na miaka 30-40 anayejielewa,msomi na ambaye anatambua nini maana ya maisha karibuni wanawake.
  8. abuuasimwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahari za Wahaya

    inategemea na nahitaji ambayo utaandikiwa vitu gani wanataka mfano kanzu,shuka LA shagazi,pombe in terms ya being ya kijijini no plus ng'ombe maelewano ni muhimu pia
  9. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Its the worse bank i never believe it can be will never bank with u no more
  10. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

    Jamani raia wameanza kuwa sugu matabaka yanatuingiza kwa machafuko
  11. abuuasimwe

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Julius Nyerere avuliwe jina la Baba wa Taifa

    kiukweli astahili hiyoheshima ya ubaba maana inreality siyo ila kisiasa sawa lakini siri anijua yeye na tutsi radicality , how can we give him respect wakat alitupatia matatizo ambayo mpaka leo tunayo mfano kuvuruga amani ya afriaca mashariki na kati kwa kutumia rasilimali za watanzana ...
Back
Top Bottom