Recent content by Abuhunna

  1. Abuhunna

    Mifumo ya makampuni

    Nakushauri itumie Tally ERP, binafsi nimeitumia kusimamia na kuendeshea biashara kubwa sana ya depot ya vinywaji, na kila kitu kilienda sawa, kuanzia stock management, uuzaji na ununuzi, huku ukitoa risiti za mauzo na hati ya kukabidhi mali yaani deliver notes. Kwasasa nasimamia biashara ya...
  2. Abuhunna

    Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

    Wewe ni muislam km ulivyo jitambulisha mwenyewe, na sherehe husika ni ya kikristo, inakuhusu nini kuhudhuria ibada za imani za watu wengine, hapo tayari umeukosea uislam na kuna hatari kwa myenendo yako hiyo inaweza kuwa unajiita muslam kumbe siku nyingi umeshatoka ndani ya uislam bila kujijua...
  3. Abuhunna

    Tunatoa huduma kwa watumiaji Tally Account Package

    Mtaalam, weka namba ya simu kwa mawasiliano
  4. Abuhunna

    Mganga Mkuu wa Wilaya ya Temeke lifanyie kazi hili

    Jana tarehe 23, majira ya saa tatu usiku nilifika hospitali ya Malawi - Yombo, (yenye hadhi ya kiwilaya - ni referral hospital katika ukanda wa temeke) nikiwa na kijana wangu mdogo ambae alikuwa na homa, huduma zikawa zimesimama kwa kinachoelezwa umeme hauko sawa katika majengo ya mapokezi...
  5. Abuhunna

    Mtoto wa miaka nane Brightson Joseph Elias wa Kinyerezi yuko kituo Mabatini Kijitonyama tangu Jumatatu

    Usalama wa raia ni moja ya jukumu la jeshi la police, sasa km ameokotwa mtoto ambae anaweza kujieleza mpk shule anayosoma inafahamika, tena ni ndani ya mkoa mmoja hapo jeshi wanashindwa vipi kumrudisha huyo mtoto kwao, huoni km kuna watu wanakwepa majukumu yao?
  6. Abuhunna

    Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

    Sasa hapo waislama wamehusikaje, acha kudharau na kebehi imani za watu, kuepuka kuichafua imani yako heshimu imani za watu wengine
  7. Abuhunna

    Simba tunakuja: Mzunguko wa pili tarehe 13/04/2024, Yanga jiandaeni kwa maumivu!

    Kwa Simba ile ya tatu mabango, dirisha dogo msipo fanya marekebisho muhimu, shida ipo pale pale.
  8. Abuhunna

    Kama kuna mzazi anasomesha mtoto wake wa kike Dodoma Media College (DMC) basi ajiandae kisaikolojia

    aliyefungua uzi km ni kweli anapaswa kuheshimiwa kwa kujuza jamii, idadi kubwa ya vijana wanao soma certificate bado ni wadogo, yaani ni wahitimu wa kidato cha nne, hii ni taarifa muhimu kwa wadau wa elimu na wazazi kujua nini kinachoendelea na kuchukua hatua za haraka
  9. Abuhunna

    Binti (miaka 19) amepotea, naomba msaada kwa atakayemuona

    Taarifa ya mtu kupotea kiutaratibu inathibitika baada ya masaa 48, unatoa taarifa za awali kituo cha polisi halafu unaendelea kumtafuta sehemu mbalimbali, huwenda mtu alianguaka njiani kapoteza fahamu akakimbizwa hospitali, inatakaiwa muhusika/mtafutaji kwanza upite sehemu zote hizo, yaani...
  10. Abuhunna

    Kusajili VAT (VAT registration)

    Malipo ya VAT hufanyika kila baada ya kufunga hesabu za mwezi za mfanya biashara kutokana na MANUNUZI na MAUZO alioyafanya, na hilo litajulikana kupitia mauzo/manunuzi aliofanya kwa mashine ya risiti (EFD – machine) na kiasi kinacho tozwa ni asilimia 18% ya manunuzi/mauzo yote , manunuzi/mauzo...
  11. Abuhunna

    Nina cheti cha Tally Accounting Packages, natafuta kazi

    piga 0713 555991 usome accounting packages
  12. Abuhunna

    Nawezaje kutumia mifumo ya computer kurahisisha kurekodi mauzo, madeni na kuhesabu mzigo

    Habar ndugu, kwa suala la usahihi wa mzigo kuingia, kotoka au kurudishwa uliponunua kutokana na kuharibika, pia pamoja na utunzaji wa hesabu za madeni unayodai/unayodaiwa hapo unahitaji program ya kihasibu ambazo zipo nyingi sana, mfano mzuri ni program ya Tally ERP 9 na QuickBook, changamoto...
  13. Abuhunna

    Chest Freezer nzuri sana linauzwa

    Kinachoonekana pichani ni deep freezer na sio chest freezer, rekebisha maelezo, utawachanganya wanunuzi ndugu
Back
Top Bottom