Punguza makasiriko, ni majina tu wanaitana. Ikiwa hupendi wewe binafsi kuitwa unasema tu. Ila wao waache waendelee kuitana, naamini ni njia moja ya kuwekana pamoja. Utafika muda yatapotea na yatakuja mengine kabisa.
Mdogo wangu alianza huo ugonjwa akiwa na miaka 10. Alianza kutumia Carbamazepine kwa muda wa miaka mitano mfululizo. Kwa sasa tunashkuru Mungu amekaa miaka 5 bila kutumia dawa na haijawahi kumtokea tena.
Urinalysis tunazofanya huenda zisioneshe shida ya figo. Uhakika zaidi ni kulinganisha kinachoonekana kwenye urine na vipimo vya damu (creatinine, BUN, electrolytes). Hata ultrasound pia inaweza kutoa ishara (kidney size, CMD na flow ya damu).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.