Pole sana .Habari zenu WanaJF, Nnateseka sana na hii kitu (KIFAFA) Juzi Nimeanguka hadi nmevunja jino na kutoka Jino kabisa, Nshazunguka Sana Bila Suluhisho kama kuna mwenye kufahamu tiba anijuze Tafadhali
Natanguliza Shukrani
Nishawasiliana nae inboxPunguza choyo mkuu.
Kama Dawa unaijua JARIBU kusaidia na WENZAKO.
Kitendo Cha wewe kufa na MAARIFA yako na UJUZI wako ni Dalili ya choyo hata Mbinguni utahukumiwa kwa Hiyo dhambi.
Weka Dawa hapa wasaidie na WATU wengine wapate kupona.
Pole aisee, ili upate tiba inabidi upate chanzo cha shida yako, unahitaji uchunguzi wa hali ya juu kujua shida kisha ijulikane watafanyaje kukutibu, kwa lugha nyepesi ni kama tuseme kuwe na short ya umeme ktkt ya ukuta sasa ili nyumba ibaki salama.lazima short itafutwe ili tatizo la circuit breaker likae sawa, all the bestHabari zenu WanaJF, Nnateseka sana na hii kitu (KIFAFA) Juzi Nimeanguka hadi nmevunja jino na kutoka Jino kabisa, Nshazunguka Sana Bila Suluhisho kama kuna mwenye kufahamu tiba anijuze Tafadhali
Natanguliza Shukrani
Nilisikia kuna jamaa anaitwa Sam yupo Misungwi pale pale mjini stand...ukimuulizia mtu yeyote Sam jamaa wa dawa za asili anakupeleka...kuna mtoto wa shemeji yangu huyo shemeji yangu aliniambia anatibiwa pale na jamaa nasikia ndio kazi zake...amerithi kutoka kwa baba yake...inamaana alianza tangu zamani.Habari zenu WanaJF, Nnateseka sana na hii kitu (KIFAFA) Juzi Nimeanguka hadi nmevunja jino na kutoka Jino kabisa, Nshazunguka Sana Bila Suluhisho kama kuna mwenye kufahamu tiba anijuze Tafadhali
Natanguliza Shukrani
Nikipata namba nitaiweka hapa.Nilisikia kuna jamaa anaitwa Sam yupo Misungwi pale pale mjini stand...ukimuulizia mtu yeyote Sam jamaa wa dawa za asili anakupeleka...kuna mtoto wa shemeji yangu huyo shemeji yangu aliniambia anatibiwa pale na jamaa nasikia ndio kazi zake...amerithi kutoka kwa baba yake...inamaana alianza tangu zamani.
Sema ukienda zungumza nae kwa ustaarabu...usilete ujuaji...nasikia anakiburi pia. Lakini dawa nasikia yupo vizuri.