Battery gani za solar ambazo unanunua zinaharibika kwa haraka? Battery nyingi za solar zinazopatikana kwa bei rahisi hazina uwezo mkubwa na hazidumu.
Ukichanganya na poor charge controllers, battery nyingi zinakufa kabla ya wakati.
Jaribu brands zifuatazo uone utofauti:
1. Dekka
2. Rolls...
Thank you very much
Thank you very much for such assistance. I think i really need to upgrade to 6ft dish in the future for C-band channels. But for the moment i have to stick to 3ft dish because the space is truly limited. If i go for 130cm dish, will that help accessing more satellites...
Hellow!
I am about to enter into FTA World. But i thought i'd begin smaller with a 3ft dish as space is limited. What FTA decorder do you recommend? Which satellite will i be able to access?
Location: Morogoro. Tanzania.
Nahitaji vifaa vya solar genuine ikiwezekana kutoka Germany. Kariakoo nmepita maduka ni mengi lakini nna wasiwasi na ubora wake. Ni wapi naweza kupata vifaa hivyo?
Nafikiri kuna kitu kinafanya tushindwe kuelewana. Dini ni imani hutakiwi kuleta sense making kwenye imani. Kwa sababu itabaki kuwa hivyo, imani. Cha msingi ni kuwa mtu mwenye imani husika anajua umuhimu wa anachokifanya.
Mtoa mada anaposema wakristu wakatoliki hawali nyama kwa sababu ni sawa na...
Kuna vitu kadhaa mtoa mada umeshindwa kuvielewa vizuri.
1. Kuchukua walimu wenye division one ya form six na form four haimaanishi ndio wanafunzi watafanya vizuri kwanza academic performance sio static inategemea Na kujituma kwa mtu kuboresha maarifa yake. Wapo waliopata hizo div 1 Na 2 Na chuo...
Kwa jinsi hili Jambo lilivyokaa sidhan km it is just a glitch in the system(I stand to be corrected). Perhaps, the government really prefers master by coursework and thesis as opposed to thesis only. True, hizi masters zinaweza kuwa sawa but conceptual and theoretical knowledge might be more...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.