Habari zenu wana jamvi
Naomba kwa mtu mwenye uelewa mzuri sana wa jinsi ya kuandaa PROJECT PLAN anisaidie.nikipata hints inatakiwa iwe na vitu gani na vitu gani na katika kila hivyo vitu kunashauriwa kuwe vipi itakuwa msaada mkubwa sana wadau
Nawasilisha Asante
Habari zenu wana jamvi
Naomba kwa mtu mwenye uelewa mzuri sana wa jinsi ya kuandaa PROJECT PLAN anisaidie.nikipata hints inatakiwa iwe na vitu gani na vitu gani na katika kila hivyo vitu kunashauriwa kuwe vipi itakuwa msaada mkubwa sana wadau
Nawasilisha
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.