Hizo ni sofa za waziri mkuu ndugu sio za raisi.tunamhitaji MTU ambae ana uwezo Wa kufanya maamuzi sahih kwa muda muafaka,kiongozi mwenye uwezo Wa kutuunganisha tuw wamoja,kiongozi mwenye vision na nk.mafufuli is only good in managing bureaucracy.
Ndugu hayo alitakiwa ayafanye wakati wenzake wanatangaza nia uli wanaccm wampe kura ya kusimama kama mgombea wao. Labda nikuulize ujenzi Wa chama chake ss tusio na vyama unatuhusu nn?
Mi naona kama anajichanganya kwa sababu alisema kuwa ataisimamia ilan ya ccm ndo maan akutangaza nia.kwa hiyo mwisho Wa siku atakuwa anafanya kaz kwa kufuata matakwa na interest za chama na sio vinginevyo.ni ngumu kuniaminisha kuwa ataweza wakati wao ndo waloumuweka ,hao hao ndo wana mnadi...
Hizo ni ndoto kwa sababu mwenyewe alishasema atatekeleza ilani ya ccm.angesema before ajateuliwa apo sawa.na pia yeye na chama chake wanatakiwa watupe majibu kwa nn kwa nn viongozi wao wanafanya mambo kama hayo,hapo tutawaelewa
Mi nilidhani angetujibu kwa nn mtaan madawa yapo na hospital hamna na pia hatua atua walizochukua mpaka sasa kukabiliana na tatizo ilo.ila swala la yeye kutuuliza sis inasikitisha mpaka nashindwa kumtofautisha yeye na upinzani
Mkuu elimu ndo kila kitu hasa kwenye ulimwengu huu Wa leo Wa sayansi na teknologia.hill lipo wazi.mfumo Wa sasa ambao haueleweki utasababisha tuburuzwe kwenye jumuia ya Africa masharik.
Tofautisha kati ya umaarufu na ushawishi,kwa sababu kama ni umaarufu anao mkubwa sana ndo maana kila kona lowasa sasa sijui unazungumzia umaarufu Wa aina gan?jipange
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.