Lowassa Mbona Hatuoni Umaarufu Wake

Lowassa Mbona Hatuoni Umaarufu Wake

Leo ni siku ya pili tangu ' waziri mkuu aliyejiuzulu' kujiunga na chama cha kupokea mafisadi. Nilitegemea kwa huo umaarufu wa social media 'vigogo' kibao wangejiunga naye. Ila wapi..... Porojooo tupu. Umaarufu wa kwenye jamii forum. Lowassa is hopeless. Kwanza hana afya ya kufikiri. He is slow in body and mind. Lakini hii ni season ya excitement. Atleast tutaanza kununua magazeti. Lowassa has brought the stimulus but will never win.

mvua huwa inaanza na manyunyu na mafuriko uwa yanaanza kwa michilizi ya maji then baada ya muda utasikia maafa watu wapo juu ya mabati huku vyombo vikielea all the way to baharini
 
Leo ni siku ya pili tangu ' waziri mkuu aliyejiuzulu' kujiunga na chama cha kupokea mafisadi. Nilitegemea kwa huo umaarufu wa social media 'vigogo' kibao wangejiunga naye. Ila wapi..... Porojooo tupu. Umaarufu wa kwenye jamii forum. Lowassa is hopeless. Kwanza hana afya ya kufikiri. He is slow in body and mind. Lakini hii ni season ya excitement. Atleast tutaanza kununua magazeti. Lowassa has brought the stimulus but will never win.

Hyo afya ya kufikri na umaarufu vina uhusiano gani Dada yangu??tatizo lenu wanawake mnadandia mambo msiyoyafahamu wewe endelea kusikilza leo tena ya clouds ndio vipind vyenu
 
Binafsi nimerudisha kad ya cuf Ukawa badaa yakuona ukawa ishapotea,kumbe hatuna mgombea mwenye sifa na kwa nn el hasijiunge NA ACT ambako alitabiriwa mapema, hapa ni uroho wa madaraka na ukanda tu
 
Leo ni siku ya pili tangu ' waziri mkuu aliyejiuzulu' kujiunga na chama cha kupokea mafisadi. Nilitegemea kwa huo umaarufu wa social media 'vigogo' kibao wangejiunga naye. Ila wapi..... Porojooo tupu. Umaarufu wa kwenye jamii forum. Lowassa is hopeless. Kwanza hana afya ya kufikiri. He is slow in body and mind. Lakini hii ni season ya excitement. Atleast tutaanza kununua magazeti. Lowassa has brought the stimulus but will never win.

Trash/Garbage/Nonsense/Stupidity.
 
Leo ni siku ya pili tangu ' waziri mkuu aliyejiuzulu' kujiunga na chama cha kupokea mafisadi. Nilitegemea kwa huo umaarufu wa social media 'vigogo' kibao wangejiunga naye. Ila wapi..... Porojooo tupu. Umaarufu wa kwenye jamii forum. Lowassa is hopeless. Kwanza hana afya ya kufikiri. He is slow in body and mind. Lakini hii ni season ya excitement. Atleast tutaanza kununua magazeti. Lowassa has brought the stimulus but will never win.

Wee ndo yule "Great Thinker" with a superb analytical skills! I see.
 
umaskini wa kisiasa ni mbaya sana watu wanakula paka mavi yao,leo hii waliyekuwa wanamuita fisadi kawa keki.wawaulize ccm kwann wamemkata huyu jambazi ngoja akawafulaishe nakuambia chadema watakimbiana
 
Leo ni siku ya pili tangu ' waziri mkuu aliyejiuzulu' kujiunga na chama cha kupokea mafisadi. Nilitegemea kwa huo umaarufu wa social media 'vigogo' kibao wangejiunga naye. Ila wapi..... Porojooo tupu. Umaarufu wa kwenye jamii forum. Lowassa is hopeless. Kwanza hana afya ya kufikiri. He is slow in body and mind. Lakini hii ni season ya excitement. Atleast tutaanza kununua magazeti. Lowassa has brought the stimulus but will never win.

Bora Dk wetu mwenye umaarufu wa kutunukiwa Phd mara mbilimbili,,kuwawezesha Wtz kutoka ahadi ya maisha bora kuwa maisha magumu kwa kila mtz,na yeye kujipendelea kulipwa Dola 192,000 kwa mwezi.Safi sanaaaaaaaaaaaana!Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Tofautisha kati ya umaarufu na ushawishi,kwa sababu kama ni umaarufu anao mkubwa sana ndo maana kila kona lowasa sasa sijui unazungumzia umaarufu Wa aina gan?jipange
 
hana mvuto then unasema amekufanya ununue magazeti!!! hahahaha una mkubalieeeeeee!!! tulia hahahahahahahah mnyooshweeeee!!!!
 
Leo ni siku ya pili tangu ' waziri mkuu aliyejiuzulu' kujiunga na chama cha kupokea mafisadi. Nilitegemea kwa huo umaarufu wa social media 'vigogo' kibao wangejiunga naye. Ila wapi..... Porojooo tupu. Umaarufu wa kwenye jamii forum. Lowassa is hopeless. Kwanza hana afya ya kufikiri. He is slow in body and mind. Lakini hii ni season ya excitement. Atleast tutaanza kununua magazeti. Lowassa has brought the stimulus but will never win.

Kama sio maarufu nini kinakuwasha? au unataka kuwa first lady?
 
Usikufuru ... mshukuru Mungu kwa kukupendelea na kukupa afya njema leo ambayo inakupa kiburi cha kusimanga binadamu wengine ..... but remember nothing is permanent under the sun.

Watu hawaelewi hilo mkuu.
 
Back
Top Bottom