Magufuli kaingia kichakani

Magufuli kaingia kichakani

Nani kakudangaya? kura haziesabiwi na uniform. Mbona wengi tunavaa uniform za shule na za kazini lakini moyoni na akilini unatafuta kazi au shule mbadala? Wengi kijani wanavaa kulazimishwa kwenye box la kura tuko Nao UKAWA

Umewashindilia msumar ,hivi wakiona uniform ndio wanaamini kuwa wanashinda ,mbona hatuoni wakivaa hizo uniform mitaani ukilinganisha na wanaUKAWA ,habari za wanaojitutumua kuwa wao ni CCM ni za kusikitisha sana ,unajua hivi sasa ni aibu kubaa uniform ya CCM mtaani inataka moyo sana na uwe umeshajitolea kikwelikweli.

Kwanza huwezi wala huwa hawana nguvu ya kujitetea katika vibaraza ,muda mwingi wanakuwa wapo wadhaifu kabisa maana hawana la kujisifia baada ya miaka 50.

Jamaa mmoja aliitwa CCM ndani ya dala dala nusra auwe mtu ! Yaani alifanyiwa kamzaha tu kwa kuambiwa wewe ccm nin ? Aloo ilikuwa pata shika jamaa alitoa matusi huku akisema wataka kuniulisha ,daladala ilibidi isimame ,chezea mabadiliko wewe !
 
Mimi si mwanaCCM ila uko right kabisa.EL akipata hata 25% ashukuru Mungu.Upepo wake tena wa kutengeneza kwa fedha hauzidi ule wa SLAA 2010 Amma MREMA 95!

IBRAHIM;
Kweli EL akipata hizo amshukuru Mungu, ila hajasema kuwa hakosi usingizi. Wapo wanaoona kama hataingia Ikulu lakini wanakoseshwa usingizi na EL. Huoni ajabu hiyo?? Yawezekanaje asiyetarajia kupata 25% ya kura zooote amkoseshe usingizi anayetarajia ushindi tena wa Kishindo?? Kuna siri hapoooooo, funguka, chunguza vizuri utaona unayo yaandika siyo unayo yaamini. Kura yako mpe EL, hakika haitapotea bali itarahisisha mabadiliko
 
Tutaandika sana kwenye mitandao ya kijamii ila Magufuli Raisi wa awamu ya Tano, kura million 15 za watanzania ana uhakika wa kupata.

Na kweli mwezi huu tutaandika mengi kwenye mitandao ila wengi watakikimbia choo kichafu !
 
Tutaandika sana kwenye mitandao ya kijamii ila Magufuli Raisi wa awamu ya Tano, kura million 15 za watanzania ana uhakika wa kupata.
Mavii, hata milioni tatu hazitafika
 
Hata Daudi Balali atakuja lakini upepo hautobadilika.
 
Tutaandika sana kwenye mitandao ya kijamii ila Magufuli Raisi wa awamu ya Tano, kura million 15 za watanzania ana uhakika wa kupata.

Umewashindilia msumar ,hivi wakiona uniform ndio wanaamini kuwa wanashinda ,mbona hatuoni wakivaa hizo uniform mitaani ukilinganisha na wanaUKAWA ,habari za wanaojitutumua kuwa wao ni CCM ni za kusikitisha sana ,unajua hivi sasa ni aibu kubaa uniform ya CCM mtaani inataka moyo sana na uwe umeshajitolea kikwelikweli.

Kwanza huwezi wala huwa hawana nguvu ya kujitetea katika vibaraza ,muda mwingi wanakuwa wapo wadhaifu kabisa maana hawana la kujisifia baada ya miaka 50.

Jamaa mmoja aliitwa CCM ndani ya dala dala nusra auwe mtu ! Yaani alifanyiwa kamzaha tu kwa kuambiwa wewe ccm nin ? Aloo ilikuwa pata shika jamaa alitoa matusi huku akisema wataka kuniulisha ,daladala ilibidi isimame ,chezea mabadiliko wewe !






Kaka hapo umenena mi nilimshuhudia mwingine akiitwa mkimbizi baada ya kuonekana na anamponga lowasa.
 
Wameishiwa hao hawana lolote tena. Kwa kifupi hawaaminiki
 
Ukiona chama kinatukana na kusema watu kwenye majukwa ujue sera hawana, ccm ndio inaelekea kuzimu isubiri hukumu.
 
Kaka hapo umenena mi nilimshuhudia mwingine akiitwa mkimbizi baada ya kuonekana na anamponga lowasa.

Kushinda uchaguzi sio mbwembwe, wala idadi ya watu kwenye mikutano ni mahesabu tu.......watu wasichojua ni kwamba hata ze comedy huwa wanajaza uwanja, hata ACT - wazalendo walikuwa na nyomi ya kutisha Kigoma, Hata Fredrick mwakalebela alikuwa na nyomi iliyozidi ya Lowassa Iringa ilhali yeye ni Mbunge.......Tafakari?! Sayansi ya siasa ....?
 
Kila siku zinavyoendelea anazidi kudhoofika na harakati zake sio zile za mwanzo, amehemewa na sasa tunaona ndani ya kichaka wanatokeza mmoja mmoja kumnadi kaanza Mkapa mara kazuka Kikwete, mara kaibuka Makamba kuna mmoja yule kafupi anhaa Mwinyi karibu bado anapima upepo.

CCM oyee ,ha ha haa mmefulia !

Hahaahaaa!...mkuu huu ndio ukweli halisi MAANA HADI UKIONA MAGUFULI ANAITA JUMUIYA YA WAZAZI NA KUWAOMBA WAKAOONGEE NA VIJANA WAO ILI WAACHE JAZIBA ZA KUTOCHAGUA CCM(Huku akitishia kuwa maamuzi magumu ya vijana yanaweza sababisha TZ ikawa kama libya)...Ujue kashakubali #matokeo tayari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom