Recent content by abena

  1. A

    Ifahamu ‘U boat’ nyambizi ya kijerumani na nyambizi ya kwanza yenye kutengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu kwa kipindi hicho!

    Nakuunga mkono mkuu, sidhani kama Kwa wakati huo hizo U BOAT zilikuwa na uwezo wa kupiga target ilio 15,000km, labda mwandishi ana maanisha M na sio Km
  2. A

    Naombeni ushauri niende kubaki Marekani au nirudi nyumbani

    Subiri ukifika Marekani ndo uulize swali lako
  3. A

    Asikudanganye Mtu! Kwa maamuzi yaliyotokea Mshindi ni Mitandao yote ya Kijamii na hasa hasa huu wa JamiiForums

    Kula like. Hilo rais alilisahau. Hao jamaa wawe mfano atakapostaafu wapewe hizo 25% na Ile 1/580 halafu waje walete mrejesho wa faida ya kutumia kikokotoo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. A

    Manchester United yatangaza kumtimua kocha Jose Mourinho

    Meneja wa Manchester United Jose Mourinho amefutwa kazi leo tarehe 18/12/2018. Miaka mitatu iliyopita Jose Mourinho alifutwa kazi umeneja wa klabu ya Chelsea tarehe 17/12/2018.
  5. A

    Man Utd itakuwa timu ya kwanza kuifunga Liverpool katika EPL msimu huu

    Full time Liverpool 3 - 1 Manchester United
  6. A

    Man Utd itakuwa timu ya kwanza kuifunga Liverpool katika EPL msimu huu

    Full time Liverpool 3 - 1 manchester United
  7. A

    Kuzorota kwa mahusiano kati ya Tanzania na Jumuiya za Kimatafia, Mahiga awajibike..

    Kemea wewe hayo unayotaka Maiga akemee.
  8. A

    Kuzorota kwa mahusiano kati ya Tanzania na Jumuiya za Kimatafia, Mahiga awajibike..

    Aachie ngazi ili wewe upewe hiyo nafasi?
  9. A

    Kuzorota kwa mahusiano kati ya Tanzania na Jumuiya za Kimatafia, Mahiga awajibike..

    Kemea wewe hayo unayotaka Maiga akemee.
  10. A

    Yule Jamaa aliyekataa Mshahara wa Tsh 400M kampuni yake yashinda tuzo ya Tsh 340M

    Hakuna mwanadamu anayemiliki mashine ya kuprint pesa yake mwenyewe. Halafu hizo pesa zake azitumieje wapi? Watu wanakuelekeza, hebu elewa
  11. A

    Ni hatari sana ,usifanye hivi gari yako itawaka moto

    Bulb za 1000w Zufungwe kwenye gari lenye wiring za kipenyo 3mm. Na umeme wa 12V. Hizo taa haziwezi kuwaka zaidi ya dak moja
  12. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Download app ya BURMA TV ipo play store
Back
Top Bottom