Recent content by Abely msomba

  1. Abely msomba

    Ilikuwaje mpaka Yesu afe kwaajili ya Waafrika na siyo kwaajili ya wazungu wenzie?

    --- ### 1. Kusudi la Kwanza la Kuja Kwake: Kifo na Ufufuo Yesu hakukuja duniani kukaa milele katika umbo la kibinadamu, bali alikuja kwa kusudi maalum la kutekeleza mpango wa ukombozi wa Mungu. Kusudi hilo kuu lilikuwa: Kutufia kwa Ajili ya Dhambi Zetu: Hili ndilo kiini cha Injili. Biblia...
  2. Abely msomba

    Nifanye biashara gani na mtaji wa laki tano?

    Yad ya mbao inatosha kwa laki 5? Nipe uzoefu
  3. Abely msomba

    Nifanye biashara gani na mtaji wa laki tano?

    Naomba namba zako...au naomba nitafte 0617528009 Tuyajenge ninawaza sana hii biashara nakosa chimbo
  4. Abely msomba

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Safi sana💯 hii imepiga kwenye mshono wa kuelewa tumeelewa
  5. Abely msomba

    Arusha: Mke ampa kipigo mumewe hadi kumuua

    Ni nguvu mbaya siku zote zinashindana na nguvu nzuri
  6. Abely msomba

    Arusha: Mke ampa kipigo mumewe hadi kumuua

    Nilitaka kucheka ila naogopa..hawa watu ni hatari kulikonyoka
  7. Abely msomba

    Arusha: Mke ampa kipigo mumewe hadi kumuua

    Shetani amekalia ndoa za watu..mlango mkubwa upo kwa mqanamke😭
  8. Abely msomba

    Je, unataka kua tajiri? Fanya hivi utakuja nishukuru

    Nikajua ndo anaanza uzi ghafla ameaga
  9. Abely msomba

    Mungu anaweza kuwepo, lakini mpaka sasa hatuna sababu ya kuamini hilo

    Kuna mapito napitiaga najiuliza na swali hili😥 tunapelekwa na mfumo
  10. Abely msomba

    Freemasons wanahitajika kujisahihisha mbele za watu maana kwa tunayoelezewa kuwahusu nyinyi yanazidi kutuogopesha

    Tunaendeshwa na mfumo...sisi hatujielewi...huenda ukifuatilia sana hakunaga story zile
  11. Abely msomba

    Hivi kuna mtu alishawahi kuwa na uhusiano na kiumbe jini

    Bibilia iliy Ochapwa na mashine haiwezi kukusaidia ila soma maarifa yaliyopo mule uokolewe
  12. Abely msomba

    Je, Waafrika tulikuwa tunamwabudu nani kati ya Mungu au shetani kabla ya jamii zingine kutoka nje Afrika kuja?

    Ukifkria sana unaanza kujitengenezea hofu mwenyewe ila amini tu Mungu yupo mengine yaache✅
  13. Abely msomba

    Leo nimemkumbuka member wa JF Folk (RIP)

    Nililia kwa sauti nilipo soma huzi wa jamaa kuanzia pale maisha yangu yalibadilika namlilia Mungu nimalize mwendo salama
Back
Top Bottom