Nyie mna bishana na maccm ukitaka kuamini kwann mtu aseme km ccm B act iko hv ccm yenyewe siitakuwa tishio maanaake ni ccm anajifanya yuko act kweli nmeamini act ccm B
Wanachadema ampacho hamkijui nikwamba wote wanaojifanya wao ni CHADEMA wafuasi wa zzk ckweli hayo ni maccm yanawapotosha wanachadema zzk kafanya Jambo baya kutaka kuuwa upinzani tz.lkn hajafanikiwa labda kapunguza kidogo lisu ni mwanaume anayeweza kucmamia micmamo yake na chama
Zzk co wakuongelewa hv tunampaisha mtu ambaye kaanguka tumuache ili asahauliki kabisa hapa JF leteni maendeleo ya chadema na ukawa tu.piah naombeni kama mna picha za hiyo nyomi ya Iringa 2015 magamba chali pamoja na mbinu zao za kuianzisha act.wote tutawagalagaza
Lisu yuko juu kiukweli nikinacho nifanya nmukubali zaidi ya zzk ni kwamba lisu anafanya mambo makubwa na hajikwezi piah hana tamaaa ya madaraka km zzk tatzo la zto nikujiongopea kuwa yupo juu kushinda chama.piah watanzania tambueni kuwa hakuna chama ambacho kitakuwa perfect bali tume ya choka ma...
Kweli watanzania tunahitaji shule.na kwa watu wanao dai wanamfuata zzk ACT either akili zao hawazitumii au ni waongo hawakuwa wafuasi wa chadema bali ni maccm yanajifanya tunamfuata zzk ACT ilikuwadanganya baazi ya wafuasi wa chadema.lkn nawaambieni enyi maccm mnaotumia kivuli cha chadema...
Dr Slaa ndio Rais wetu bira kujali kasoro zake mbona duniani wakamilifu wachache na hawataki madaraka sasa kuriko kuwapa maccm nchi ni bora mara Mia kulko ccm.
Kama ningekuwa bendera kifuata upepo cjui ningekuwa wapi kwahyo mchezaji akihama team na mimi nihame kisa nampenda je akifariki na mimi nifariki kwa kuwa namkubari namkubari sana zzk ila mapambano yangu daima ni kwa chama chenye nguvu ya upinzani na wanaojifanya wanamfuata zzk ACT ckweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.