Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Kweli pesa ni mali ya shetani! Na matisho yooote juu ya laana ya milele utakapokacha kazi ya mungu bado njemba ikadharau na kudumbukia siasani kusema uhongo na uzandiki ili ipige masese.
Hawezi kufaa kuwa rais maana ni kigeugeu na mwenye tamaa na maaraka na hela.
Bora hata Thomasi mashali yeye hana tamaa ameamua kuwa Rais wa Ghetto Tanzania. Slaa anaweza chagua kuwa Rais wa ex priest. Lol!
Hawezi kufaa kuwa rais maana ni kigeugeu na mwenye tamaa na maaraka na hela.
Bora hata Thomasi mashali yeye hana tamaa ameamua kuwa Rais wa Ghetto Tanzania. Slaa anaweza chagua kuwa Rais wa ex priest. Lol!