Recent content by abellafaith

  1. A

    Nini kinasababisha hedhi kutoka kidogo Sana?

    Nenda kwa dr bingwa wa maswala ya wanawake. Kuna vitu vingi vinavyosababisha kuwa na tatizo kama hilo. Dr atakuuliza historia yako na wazazi wako then atafanya vipimo ambavyo atagundua ni nini. Ila mawazo yangu kidogo nafikiri mayai hayapevushwi vizuri na pia kuta za kizazi ni nene kuliko...
  2. A

    Vimbwanga na vitisho vya nyumba niliopanga

    Usihame hapo mpaka uuonee mwisho. Nakushauri kula kitimoto ile mifupa yake kitimoto iweke ndani ya nyumba. Hutokaa upate hizo shida. Kuna watu wawili nawafahamu walikumbana na maswahibu kama haya wakafanya hivyo waliishi vizuri.
  3. A

    Mrejesho: Najuta kuoa mwanamke mlokole

    Mkeo anaenda kuwa mke kitu chema. Woi amekutana na mwalimu mzuri. Sasa utafurahia maisha
  4. A

    Maneno ya kejeli ya mume wangu

    Dada pole sana. Tafadhali soma pm yangu.
  5. A

    Ushauri: Huyu mwanamke nimemzoea sana nitawezeje kuwa naye?

    mzee wa misele Cook dinner for her, Chakula akipendacho. Mualike. Candle light dinner yenye utulivu wa Hali ya juu. After dinner, jitose mwambie ya moyoni.
  6. A

    Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    Achana na forever living. Jiunge na trevo product. Wana product moja ambayo wanauza na rahisi kuuzika tofauti na foreve ambayo Ina products Nyingi na kuwachanganya customers. Trevo imemsaidia wengi niliowapa product hii. More details kuhusu trevo check www.trevocorporation.com/coach/Abella na...
  7. A

    Kuagiza gari na usumbufu wa ma-agent

    Mkuu check na Freightworx. Agent Hawa wataangalia Kama wanaweza kuendelea hapo palipofikia.
  8. A

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Trevo-food suppliment ndio mpango mzima. Inavirutubisho kutoka mimea 174. Nimeumwa Miguu kwa Muda mrefu nikitumia dawa tofauti. Tangu nilipoelezwa kuhusu Trevo nakuanza kutumia miguu imepona na ninaona improvements kwenye maeneo mengine ya mwili pia.
  9. A

    Happy Pi Day everyone

    Hii ni kutudanganya kwa maana PI ni 22/7 = 3.142857143. So Siku ya PI mwaka 2015 haina uspecial wowote.
  10. A

    Nifanyeje wadau? Nisaidie

    Yaani dada huna haja yakuongea. Muonyeshe hii thread asome. Akimaliza kusoma akupe maamuzi yake.
  11. A

    Walimu wa vyuo wafeli mitihani vibaya

    Yawezekana pia. Maana wengine wameupgrade kutoka ualimu wa astashaada kwenda ualimu was stashahada. Kwa hiyo nao wamefeli
  12. A

    CISA- Certified Information Systems Auditor

    I can vote for igcl. Wako vizuri. Done ma tuitorial there in 2010. Wako vizuri. Ada ilikuwa 1200 dollas. Hapo pesa ya mtihani haipo ndani.
  13. A

    Televisheni nchini hazijaipa uzito video ya lwakatare

    They were right. Tulitakiwa TZ kuwa na investigative journalist ambao wangeichunguza ile video nakuiweka kwenye vyombo vyao vya habari. Ili watanzania waweze kujua if the video was authentic or not. Ila journalist wetu waganga njaa hawawezi kufanya that type of journalism
  14. A

    Radio Imani, Kwa Neema FM zafungiwa... Clouds FM yatozwa faini!

    Naomba muhutasari wa Jicho la ng'ombe la leo
Back
Top Bottom