Acha ufala wewe atafute kiki ya nini wakati yeye haihitaji kiki anakubalika kitambo kwenye hipo hop ila alichosema ni kweli yule punga Dimpoz mambo yao vipi awahusishe wazazi?
Ni kweli wamekaa kimya ila hakuna anaejua kwa nini wamekaa kimya na je hao wahanga/waathiriwa wa hilo tukio zima la uvunjaji je wana haki ya kuvunjiwa ama la?maana kama ni kweli upo eneo ambalo sio stahiki na sheria ikafuata mkondo wake hauna haki ya kulalamika na kama upo kihalali lazima...
Yaani nimewafuatilia sana watangazaji wa clouds huwa wanpenda kuonesha unazi kwenye vitu wapendavyo maana kuna siku namsikia kabisa Shafii Dauda anatetea uozo wa klabu fulani kisa yeye ni mshabiki wa hiyo klabu na kuwaponda wengine.
Suala sio kukimbia gharama unaongeza channel halafu unaongeza bei je kulikuwa na ulazima gani wa kuongeza hiyo channel na kulazimisha watu waone anaetaka sawa sio wote wanataka kuangalia mpira hebu mliangalie hilo kwa maraefu na mapana maana hata Dstv wana channels additional kama ukizihitaji...
Huyo
Huyo jamaa Andre Gomez ni mzuri sana licha ya kuwa umri wake ni mdogo ana miaka 24 tu walimchukua kutoka benfica naona kocha Ernesto Valverde anajaribu kumpa uzoefu ili aweze kuwa na uzoefu na nina uhakika atakuwa katika kiwango bora baadae.
Ni kweli kabisa unajua baadhi yetu tumekuwa ni watu wa kutoa matokeo mapema kwa hizo mechi mbili wakati kuna nyingine nyingi zitachezwa na kuamua matokeo.
Mie nakuunga mkono kwenye hili ila sio mwisho wao nadhani watajipanga na kuanza upya kama kipindi cha Rijkaard timu ilifanya vibaya ila baadae walirudi na kufanya vizuri kinachowasumbua kikubwa Barcelona ni ukongwe wa wachezaji wao na ndio naona huyu kocha mpya Ernesto Valverde amekuja na...
Kama una gari au kama hauna basi fanya mpango umsindikize mpaka kituoni mlipie nauli kabisa hakikisha umepakia mizigo yake na yeye mwenyewe amepanda na gari likiondoka umuage then rudi nyumbani maisha yaendelee.
Hapo inabidi umwambie mkeo labda hakupewa neno kuhusu Ndoa inataka vitu gani na haitaki vitu gani maana katika vitu ambavyo vinachangia kuvunja ndoa nyingi ni wazazi aka wakwe haswa ukikuta mwanamke amemshiba sana kwa mama yake kwa hiyo umwambie akikataa basi mwambie mama mkwe kwamba muda huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.