Bado muungano wetu ni mchanga, just be patient comrade. Raisi wa Zanzibar ataweza toka Tanzania mainland may be in next century, pale to tukiwa matured enough wenye high political tolerance.
Morogoro sio karafuu tu sasa wanalima hadi vanilla, kuna haja ya kuondoa monopoly ya Zanzibar kuhusu international market. Historically ibaki tu kwamba Zanzibar alikuwa ni major producer wa clove Duniani tangu utawala Sultan wa kwanza kutoka Oman Bwana Seyyid Said.
Corruption na matumizi mabaya ya ofisi za uma nk vilikuwepo vitu hivyo hata katika zama za mwalimu ukiipitia vizuri hotuba ya mwalimu Nyerere aliyoitoa mwezi march 1995 pale Kilimanjaro hotel utakiri hilo. Matatizo ya kimfumo hurekebishwa kwa katiba bora, na raisi Samia tayari umebarik mchakato...
Amani iwe juu yenu Watanzania wenzangu!
Nimeitafakari vya kutosha nchi yangu mpaka hapa ilipo. Hakuna awezae kuzuia kifo isipokua ni Mungu pekee, raisi wangu mama yetu ameingia madarakani kikatiba baada ya kufariki kwa aliyekuwa raisi wetu John. P. Magufuli, jambo hili linatosha kuthibitisha...
Franco aliimba nyimbo moja hit song called "sida" kwa wadau wa lingala, chukua tahadhari kuhusu ukimwi kwani upo na baadae yeye binafsi inasemwa aliugua na kufariki. So take care guys!
It reveals you to yourself which is a good thing but you must have a big head with the necessary brain unless otherwise you will suffer from mental disorders!
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu umejilinganisha na nani mpk udai kuwa una ugly face, wanawake wazuri hawapendi wanaume wanaokaribia sura kama wanawake hiyo ni kwa mujibu wa tafiti, huko marekani wanawake 77℅ waliohojiwa kwamba wanapenda nini kwa wanaume walidai haya yafuatayo;
1. Confidence: hii inawafanya wanawake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.