Recent content by abdul39

  1. A

    Love is the beuty of the soul

    Jamaa alikuwa na girlfriends watatu,akaanza kuwaza amwoe yupi kati ya hao. akawapa kila mmoja milion 5 ili aone kila mtu ataitumiaje. Girlfriend wa kwanza akaenda supermarket akanunua nguo,viatu,mikufu ya kila aina, akaingia saloon kutengeneza nywele,halafu akarudi kwa jamaa na kumwambia...
  2. A

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    Tuache kulalamika. JK ametuambia ukweli. Tunaweza kuanzisha mahakama ya kadhi lakini haitasimamiwa na serikali. Pia kuhusu wakristu kusasidiwa mimi binafsi ninaona ni jambo zuri maana wao wanazo hospitali kubwa tena zinatoa hudma bila ya kubagua. Sisi waislam hatuna hospital. sasa tunacho...
  3. A

    Mahakama ya Kadhi vs BAKWATA!

    Tuache kulalamika. JK ametuambia ukweli. Tunaweza kuanzisha mahakama ya kadhi lakini haitasimamiwa na serikali. Pia kuhusu wakristu kusasidiwa mimi binafsi ninaona ni jambo zuri maana wao wanazo hospitali kubwa tena zinatoa hudma bila ya kubagua. Sisi waislam hatuna hospital. sasa tunacho...
  4. A

    Mahakama ya Kadhi vs BAKWATA!

    JK alituchana vizuri sana ile siku ya IDD kule Dodoma. Kama mahakama ya kadhi tumepewa ruhusa ya kuanzisha, natuisimamie wenyewe. Je, tunataka serikali itusaidie nini tena? Vile vile kuhusiana na shule tumeambiwa tujenge, hospitali pia tujenge ili na sisi tuombe MoU kama wakristu walivyoomba...
  5. A

    Utamwambia nini Rais JK?

    Wewe ni kigeugeu
  6. A

    Kwa staili hii, CHADEMA itavunja muungano

    muungano unatusaidia nini sisi Watanganyika? acha uvunjike
  7. A

    Tupo wawili peke yetu

    TUPO WAWILI PEKE YETU Padri amekaa katika ki-box cha kuungamisha, kanisani hakuna mtu. Mara muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili na kufanya ishara ya msalaba akaanza kuungama. "padri naungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana" "endelea" "bosi wangu aliniita...
Back
Top Bottom