Hata hivo huyu jamaa kwenye katuni zake ni bingwa wa kuichafua serikali kwahiyo haikosi analipwa ila alipwe asilipwe hakika be dhambi kubwa kurumia neema mungu aliyokupa bure kuwaudhi watu kwakutumia rasilimali ya umri ambao huna uhakika wa kuishi hata dakika moja mbele utajiri wako wadunia...
Kisheria hakuna benki au huduma yoyote inayoruhusiwa kufunguliwa bila choo ila hili on sisi ndo tunatakiwa tupigie kelele hili kwa mfano moshi be benki moja tu yenye Choo cha ukweli nayo ni Kilimanjaro cooperation bank zingine sijaona ila nadhani vipo shida ni uchoyo Na uvivu wa kuvifanyia usafi...
Hi ni sawa rais Fanya yako bila kujali chochote wala yeyote hatuna wasi Na WW hata 2006 nakuhakikishia muheshimiwa u PM ulikuwa ni wako jamani tunaokujua uchapakazi wako tulikuwa tunakuombea sana mkuu ila ndo hivo tena bahati ilichelewa kufika Na hakika tungekuwa mbali zaidi naamini hata MH...
Hi Sharif muogope mungu kutumia neno ukafiri kwenye chombo cha habari si vizuri watu wanaona wametukanwa japo kidini umemaanisha MTU asieamini lakini kwa Kiswahili ni tusi kama matusi mengine Na kisheria unafungwa Na kivingine pia kidini ni dhambi ni sawa Na kwenda kwa jirani yako ukaanza...
Hi watanzania jamani mlimuona akifanya chochote? Si vizuri kumsingizia MTU vitu vya uongo jamani hata waswahili husema umdhaniae ndiye kumbe siyena dini zinasema kudhania ni madhambi Na kubwa zaidi tuache kufumba macho jamani magufuli ni jembe jamani cha muhimu raisi chapa kazi Na ww kama dereva...
Hi watanzania jamani mlimuona akifanya chochote? Si vizuri kumsingizia MTU vitu vya uongo jamani hata waswahili husema umdhaniae ndiye kumbe siyena dini zinasema kudhania ni madhambi Na kubwa zaidi tuache kufumba macho jamani magufuli ni jembe jamani cha muhimu raisi chapa kazi Na ww kama dereva...
Na kikubwa zaidi kwakuwa mechi bado inaendelea Na urefa mungu amewapa tunawaombea mungu filimbi zenu mzitumie vizuri ili huyu mesi wetu wa Tanzania azidi kufunga magoli Na hasa kwa kasi yake faulo kweli zinaweza kutokea lakini mkumbuke kumtendea haki jamani Na mungu awabariki sana.
Hi jamani x hii imepambwa Na mahubiri mengi mazuri ila naona chakula hiki cha kiroho kimezidishwa viungo hivi unajua chakula hiki wanakokondoo saa ingine tunatoka tumeshiba kabisa zaidi ya MTU uliekula wali kwa kuku ndo mana utaona kuna wahubiri akitokeza tu watu wanajaa ila inabidi tuabalansi...
Kwakweli gari hizo zilikuwa ni T7765Aen Na t762Aen landcruza Na zinajulika niza kigogo mzito tu wa upinzani qliefariki juzijuzi Na tukio liliripotiwa polisi bomangombe majeraha tulisha jitibu ila wangejitokeza watengeneze gari nii kama 2m hivi wala hatuna shida ya kesi yote tunasamehe kwani ndo...
Hi yani hawa watu awatofautiani Na Ile hadithi ya kile ya kinyama kichokozi kikimpiga mwenzake alafu chnyewe ndo kinalia kionekane ndo kinapigwa kumbe hapana chenyewe ndo kichokozi daima namfano ni siku yamkesha wa Kura za udiwan nilishuhudia tukio la kutisha landkruza mbili zilikuwa zikifanya...
Acha hiyo mi nimeiweka hivohivo lkn nikipiga SM inasema haina salio nionavo Zain haijawahi kupata waendeshaji ewnye akili wote ni wote on hopeless walianza na ujambazi wakuiba efu 5 wakijidai ni ofa ya dakika sijui Mia 5 ukiweka tu SM haiendi inakwambia ofa inaanzia SA 6 usiku sasa utasema on...
Hapana jamani kwanza nimpongeze tu rais kwa teuzi zake mbali mbali zisizojali uccm wala upinzani najua nishida kwa baadhi yawanaccm ambao hawajisii vizuri kwa teuzi hizi ila jamani hatuwezi teua kama zawadi tunateua kulingana na kiwango cha uadilifu uchapakazi pia tunacheki mtu asiwe na makundi...
Namm naongezea katoa wafanyakazi hewa zaidi ya elfu kumi kazivuta kwake wizara 2 muhimu zenye purukushani nyingi ambayo ni tamisemi na utumishi na hata tulitegemea labda atachoka aziondoe kwake lkn wapi hadi leo yuko nazo na anaziendesha alipoi gia madarakani alikuta hali ya hazina ilikuwa mbaya...
Nimemaanisha tu kuwa udokozi ukizidi kinachobaki ni kugawana fito zabanda Na ndo basi tena k up duka kimekufa. Kwa hiyo ndugu zangu naomba nikumbushe mengine ambayo ni kama kumaliza ufksadi mbalimbaali wafanyakazi hewa barabara Na mengine iengi naww taja basi hayo yaliyofeli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.