Recent content by abdallahross

  1. A

    JamiiForums Tanzania Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

    Uko sahihi sana mkuu..
  2. A

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hata kama walikiuka kanuni Januari 19, 2025 bado Rais Samia ndiye bora kuliko wote wanaotamani kuwa wagombea wa CCM

    Anaelipinga hili anasumbuliwa na udini tu hakuna kengne, hakuna namna mama tunatamba nae
  3. A

    JamiiForums Tanzania Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

    Kwan mkuu kwa Tz itakubal starlink?
  4. A

    JamiiForums Tanzania Ajira za madaktari Ndanda Referral Hospital, Masasi

    Mkuu ina maana ajira ya hio hospital haitolewi tena na ajira portal instead ni directly kwenye website ya hospital au unamaanisha nafasi ya kujitolea wametangaza?
  5. A

    JamiiForums Tanzania Telegram book bot

    Wakuu naombeni msaada wa Best Telegram Book Bots 🤖, kidgo nachemka apa
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

    Ina maana mkuu ukitumia proxy, no need lf vpn?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

    Ahsante. Mkuu
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

    Hii proxy ni uhakika mkuu?
  9. A

    JamiiForums Tanzania Msaada Nimegundua Fundi anaweza ua kabisa gari yangu

    Bro i had the same issue na mm, fundi wangu kanitwanga 20w50 kasema hio ndio inafaa ila asee baada ya kusoma na kuchunguza sana nkaona ananiingiza mkenge huyu, soln ni 5w30 , nadhan inabd tufike hatua tuambiane tu ukweli mafundi sahihi wanapatikana wapi maana asee wajuaji huku mtaani ni wengi mno
  10. A

    JamiiForums Tanzania DStv now Account

    Mkuu hii bado ipo? Nahitaji
  11. A

    JamiiForums Tanzania TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Asee kwa hili TTCL wanazingua sana imagine mm nakaa tabata round about mandela road , nmefungiwa fiber since 6 months Ago, yani tangu nmeekewa mpka leo haifanyi kazi eti server imejaa kwahyo hakuna sehem ya kuweka wateja wapya??? Wtf??,, 4 months nmehangaika na ma surveryor, mpka mmekuja kuweka...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

    Exactly bro, hili la bandari ni danganya toto, the real deal behind this ni samia kua muislam na chuki dhidi ya uislam kushnei [emoji298]️
  13. A

    JamiiForums Tanzania Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

    Moderators please fungieni upuuzi huu wa kidini, mbna mwendazake kaharibu kila kona kwa udini lakn watu tumekausha? Mbna mpka ss hv ajira zote za utumishi asilimia 95% ni wakristo esp kwenye mataasisi na watu tumekaa kimya????
Back
Top Bottom