Fursa nyingine,safari kuingizA fedha kupitia internet was a imeanza.Kikwazo kikubwa tulichonacho Tanzania ni Payment gateway,kwa kuwa Paypal hawaruhusu kupokea fedha hapa Tanzania,Payoneer ndio Suluhisho.Niliagiza card yangu ya Payoneer from America,Now its in my hand,free wanakutumia.