Abdallah404
Member
- Feb 17, 2014
- 61
- 21
Fursa nyingine,safari kuingizA fedha kupitia internet was a imeanza.Kikwazo kikubwa tulichonacho Tanzania ni Payment gateway,kwa kuwa Paypal hawaruhusu kupokea fedha hapa Tanzania,Payoneer ndio Suluhisho.Niliagiza card yangu ya Payoneer from America,Now its in my hand,free wanakutumia.