Simu yangu note2 iliisha chaji nakutochaji kwa siku nzima cha ajabu kuja. Kuchaji haingizi chaji nikitoa betri na kuchaji kwa mchajio wa Kobe ola nikaazima betri yenye chaji nikiweka bado haiwaki hainyoshi chocjote nini tatizo msaada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya sentesi hizi mbili ipi ni sahihi ukimaanisha kuwa hakuna mtu mwengine zaidi yako?
1.nipo mwenyewe.
2.nipo peke yangu
Bytheway,napenda kuzungumza kiengereza kwa ajili ya practice ingawa sijui sana ; aliyetayari kufanya mazoezi na mimi no yangu ni 0684066626(abdallah hassani)
Sent using...
Hivi kuna sentensi moja nimekua nikiisikia hususan kwa watu wa dar na bara inayosema "nipo mwenyewe " eti wakiwa na maana hakuna mtu mwengine zaidi yake; kwa mimi mtu wa pwani naona sentensi hii si sahihi badala yake isemwe "nipo peke yangu"
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.