Kwa statement yako, wepi ni wengi kati ya waliokosa promotion kwa wabunge? Au waliopata promotion?kisha utapata jibu. Kwa taarifa za wajuzi Wa mambo wabunge 154 team lowasa,na wanec 800 wengine wenye kura turufu utawaona white States siku hiyo. Wale waliokuja pale ni viongozi tu team EL.
Nataka niapply loan course procurement and logistics. Lakini ndio nipo diploma 2, semister ya pili . je naweza omba hata kama sijapata matokeo? Ila natarajia kujiunga bachelor mwaka huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.