Kwanza ningemshauri amalize kadhia za wafanyakazi waliobambikiwa kesi kisha wakafukuzwa kazi na hata kesi zao zilipofutwa waajiri walikataa kuwarudisha kazini bila sababu ya msingi. Hii ni changamoto ambayo inasumbua wafanyakazi wengi wa umma na malalamiko yao yanapuuzwa
Habari,
Kuna watumishi wa umma ambao walifukuzwa kazi baada ya kubambikiwa kesi na kupelekekwa magerezani, mara baada ya kufutwa kwa kesi hizo nini hatma yao ya kiutumishi? Msaada kwa wajuao.
kila la kheri mwanamama mpambanaji, msomi na mweledi katika masuala ya sheria. Tangulia mama usijali kelele za chura vijana tuko sambamba nawe kwa hili
Biashara ya chipsi ni nzuri sana kani ndio chakula kikuu kwa raia wa Da Es Salaam bila ya kuangalia jinsia zao. Cha msingi nikuweka malengo ya biashara yako unataka kuifanya kwa mfumo gani, kuna majiko ya gas mengine ya umeme mengine ya mkaa cha msingi ni kuangalia bidhaa gani utapata kwa...
khabari za mchana wadau na vijana wote mlio wanachama wa Jamii Forum pendwa kabisa. Napenda kuwakia jumatatu njema na yenye baraka kwa wote.
Nadhani inafahamika kama kwa sas kuna changamoto kidogo ya ajira ingawa tunasisitiziwa sana kuanzisha viwanda kwa ajili ya kufikia lengo la serikali...
KHABARI ZA ASUBUHI WANAJAMVI, NATUMAI KWA UWEZO WAKE MWENYEZI MUNGU AMEAMUA KUTUPA TENA NAFASI YA KUUONA MWAKA 2019 TUKIWA NA AFYA TELE KWANI SAFARI TULIIANZA WENGI ILA TULIOBAHATIKA KUINGIA MWAKA 2019 NI WACHACHE. NI JAMBO LA KUSHUKURU KWA SANA KWA MWENYEZI MUNGU.
AWALI YA HAYO JE UNA...
MUNGU ATUBARIKI SOTE KWA NIA ZETU SAFI IN SHA ALLAH , HAKIKA UNAPOMTENDEA MJA JEMA MOJA BASI MUNGU HUKULIPA MEMA KUMI, TUENDELEE KUTENDEANA YALIYO MEMA
AFADHALI KAMA UMELIONA HILO ILA CHUKUA YALIYO MAZURI MANA YANAWEZA YAKAKUSAIDIA SIKU ZA MBELENI ILA HAYA YA HAPA YA KEJELI, DHARAU NA VIJEMBE NIACHIE MWENYEWE MTOA MADA
HATA KITUNGUU THAUMU PEKE YAKE PIA INASAIDIA SANA ILA UKIPATA NA HIVYO VYENGINE INAKUWA NZURI SANA ,AHSANTE KWA KUNIPA DAWA NYENGINE ALLAH AKUBARIKI IN SHA ALLAH
HAPANA NYUMBA AU VIJUMBA MAENEO YOYOTE SI LAZIMA IWE KARIBU N AIRPORT KWANI KUNA BNB MPAKA GOBA KAKA NA NYINGINE KIGAMBONI CHA MSINGI UPATE ENEO ZURI LENYE USALAMA LINALOFIKIKA VIZURI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.