ABDALLAH AMOUR
Member
- May 12, 2009
- 25
- 35
- Thread starter
- #21
MUNGU ATUBARIKI SOTE KWA NIA ZETU SAFI IN SHA ALLAH , HAKIKA UNAPOMTENDEA MJA JEMA MOJA BASI MUNGU HUKULIPA MEMA KUMI, TUENDELEE KUTENDEANA YALIYO MEMANimekupenda sana kwa kutokuwa na uchoyo, hii tabia umeionyesha hapa ndiyo watanzania wote wanatakiwa kujifunza na kuwa na moyo wa namna hiyo, naamini Mungu atakubariki sana Mkuu