Biashara ya kupokea wageni ya bnb

Biashara ya kupokea wageni ya bnb

Nimekupenda sana kwa kutokuwa na uchoyo, hii tabia umeionyesha hapa ndiyo watanzania wote wanatakiwa kujifunza na kuwa na moyo wa namna hiyo, naamini Mungu atakubariki sana Mkuu
MUNGU ATUBARIKI SOTE KWA NIA ZETU SAFI IN SHA ALLAH , HAKIKA UNAPOMTENDEA MJA JEMA MOJA BASI MUNGU HUKULIPA MEMA KUMI, TUENDELEE KUTENDEANA YALIYO MEMA
 
Iyo biashara ndio inakuja kueneza ufirauni wa mzungu vizuri kila kitu wanacho kianzisha kina sababu zake subri uone yatakuja mapunga ya kizungu mengi ni mi dollars kazi ya kumtukuza shetani inaanzia hapo vizur.
 
Iyo biashara ndio inakuja kueneza ufirauni wa mzungu vizuri kila kitu wanacho kianzisha kina sababu zake subri uone yatakuja mapunga ya kizungu mengi ni mi dollars kazi ya kumtukuza shetani inaanzia hapo vizur.
ni kama hoteli nyingine
 
Siyo bnb.

Ni Airbnb.

Ulivyoandika tu nimejua hufahamu sana kuhusu Airbnb.

Binafsi nimekuwa napokea wageni kwenye apartment ninayoishi kupitia Airbnb zaidi ya mwaka sasa.

Nipo namwingiliano sana na wageni kwahiyo I know a lot about this business model.

Baadhi wana-book sehemu yangu for months

Check this

IMG_4550.JPG
 
picha za sehemu yako na bei unaweza ukaaangalia kwa wale wenzako ambao wameshaanza, bei zao zikoje nawe ushushe kidog kwa ajili ya kuvutia wateja pamoja na kuboresha huduma za ziada kama breadfast iwe ya maana na iwe ya kiafrika zaidi yaani kwa vyakula ambavyo kwa wageni ni adimu kupatikana katika nchi zao.
Yaani unashusha bei kuliko competition na kutoa huduma bora kuliko competition ?

Hapo lazima utakuwa na secret of the trade ambayo competition haijui na ikishaifahamu nao wataiga kama wewe na kushusha bei.., matokeo yake mtashusha bei na kushusha bei mpaka muanze kutoa huduma bure ....

Cha maana price accordingly na kama mteja anapata value for money anatoa pesa na kama target yako ni watu ambao pesa sio tatizo watalipa hata maradufu..., just know your customers and target them accordingly...
 
kh
Siyo bnb.

Ni Airbnb.

Ulivyoandika tu nimejua hufahamu sana kuhusu Airbnb.

Binafsi nimekuwa napokea wageni kwenye apartment ninayoishi kupitia Airbnb zaidi ya mwaka sasa.

Nipo namwingiliano sana na wageni kwahiyo I know a lot about this business model.

Baadhi wana-book sehemu yangu for months

Check this

View attachment 1176905
oky safi....full ujasiriamali
 
Siyo bnb.

Ni Airbnb.

Ulivyoandika tu nimejua hufahamu sana kuhusu Airbnb.

Binafsi nimekuwa napokea wageni kwenye apartment ninayoishi kupitia Airbnb zaidi ya mwaka sasa.

Nipo namwingiliano sana na wageni kwahiyo I know a lot about this business model.

Baadhi wana-book sehemu yangu for months

Check this

View attachment 1176905
Hii huko Moshi na Arusha ni ya muda mrefu hasa kipindi kama hiki cha high peak season cha utalii.
 
Siyo bnb.

Ni Airbnb.

Ulivyoandika tu nimejua hufahamu sana kuhusu Airbnb.

Binafsi nimekuwa napokea wageni kwenye apartment ninayoishi kupitia Airbnb zaidi ya mwaka sasa.

Nipo namwingiliano sana na wageni kwahiyo I know a lot about this business model.

Baadhi wana-book sehemu yangu for months

Check this

View attachment 1176905
Mimi nikajua mgeni anaechukua chumba kimoja anapata bed na breakfast tu kwenye bei anayolipa na kwamba kama ana familia au wenzake kama amechukua apartment au nyumba yote anaweza kujinunulia mahitaji yake ya vyakula na wakawa wanajipikia wenyewe, kukaa sebuleni na pia kuosha vyombo kama vile wapo nyumbani kwao. Kingine hivi unapofanya booking ya hizo airbnb kwa mtandao si gharama inaweza kuwa juu kidogo tofauti na kama mtu unazijua zilipo na ukaenda kuongea na wenyeji wake moja kwa moja na kupata punguzo la bei?
 
Naona kwa Dodoma mpaka sasa ni kama vile hazipo sana. Kutakuwa na hiyo fursa kubwa.
 
Nilijaribu kuweka Uzi WA hii business but kuna watu wakala shombo humu jf mie nikatulia napiga pesa kivyangu
 
Kuna watu jamii forums wanajifanya wanajua sana kumbe mbulula ila ABDALLAH na wengineo keep it up this thing is for real
Capture%2B_2019-08-10-11-57-34.jpeg
 
Download travelo app list maeneo ya vivutio wakaribishe watu na watawasiliana na wew then wakija utawapa makazi na kuwa tour guide wao this thing is for real maana rd kwa hii app ni moja ya sehemu ambazo zinaingia Kwenye challenge every week
 
Download travelo app list maeneo ya vivutio wakaribishe watu na watawasiliana na wew then wakija utawapa makazi na kuwa tour guide wao this thing is for real maana rd kwa hii app ni moja ya sehemu ambazo zinaingia Kwenye challenge every week
khy mzee unapga hela tuu
 
Kwani wakija hao mapunga,na midoli kuna siku watakuja kukuazima m.k.undu wako wautumie.NYIE ndo mnakuwa wachawi haswa kwenye idea nzuri za kimaendeleo kama hivi.
Iyo biashara ndio inakuja kueneza ufirauni wa mzungu vizuri kila kitu wanacho kianzisha kina sababu zake subri uone yatakuja mapunga ya kizungu mengi ni mi dollars kazi ya kumtukuza shetani inaanzia hapo vizur.
 
Back
Top Bottom