Inasikitisha sana kuona bunge na serikali dhaifu limerudisha JKT bila kufanya tafakuli ya kina. Na sema hivyo kwa sababu tofauti na JKT ya mwl. Nyerere iliyojikita katika kufunza maadili,ukakamavu, nguvu kazi pamoja na uzalishaji, JKT ya awamu hii pamoja na nyakati kuwa tofauti - najua bado...