Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

Mkuu tunashukuru sana kwa taarifa, pia kutokana na maendeleo ya IT, siku hizi ingekuwa ni kusaidia jamii kama unge-record na ku-post youtube kwa wale waliokosa mijadala iliyopita au ambao hawana access na ITV kwa sasa (Wapo out of scope of ITV)

Hili ni wazo muafaka sana, Labda tumuombe Prof na ITV wawezeshe hayo. Lakini hawa TBC wanafanya kazi gani wakati huu?
 
Ni ukweli usiofichika kuwa Prof. Shivji amebobea katika fani yake. Wasiwasi wangu ni kuwa je watawala wanafurahia mihadhara hii?

watajua wao ukicheka na nyani utavuna mabua,hata wasipotaka hawana la kumfanya kwa sababu hajakurupuka kurusha hicho kipindi.Prof.YUKO JUUUUUUUUUU
 

I had privilege to share the same university with Prof. Shivji, I had privilege to shake his hands, I had privilege to read his books, he is truly scholar, he is one in million. If you ask me to choose to all time great scholar of this country. Below will always be my pick.

1.Professor Issa Shivji


2. The Late Professor Haroun Othman ( May his Soul Rest in Peace)



" As Africans our last hope is Scientific Socialism"

The Late Comrade Siad Barre
 
Prof. Shivji ni mwalimu wangu pale Udsm na mimi ni miongoni mwa wale wanafunzi wake wabishi, waliobishana hadi na walimu wao!.
Baadhi ya tofauti tulizotofautiana na mwalimu wangu Prof. Shivji ni yeye anakubali kuwa the end justifies the means, mfano Muungano ni halali na katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977 ni katiba halali hata kama njia zilizotumika sio halali!.

Mimi kwa upande wangu niko based Kisheria zaidi, jambo likishafanyika ndivyo sivyo, kisheria huwa linakuwa ni sawa na halipo!, tukiita "ab initio". Kupitia somo la sifa za mikataba, contacts, hati za muungano sio mkataba bali ni makubaliano tuu.

Pili kwa vile makubaliano hayo hayakuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, then kiukweli kabisa bila mashaka wala kumung'unya maneno, " Muungano Si Halali" ab initio!. Vivyo hivyo kwa katiba yetu hii iliyopo sii halali kwa msingi kwa katiba iliyoundwa bila kufuata principles za constitutionalism sio constitutional halali!.

Kwenye somo la jana akielezea sifa za wajumbe wa tume ya kukusanya maoni alisisitiza wasiwe wanasiasa!. Hivi waliojaa mle ndani ni kina nani tukianzia kwa Jaji. Warioba!.

Kwa maoni yangu, Prof. Issa Gulamhusein Shivji ndiye aliyepaswa haswa kuwa mwenyekiti wa tume ile!.

JK aliogopa kumteua huyu jamaa kwa sababu ni mkweli mno hivyo angeweza kutupatia katiba nzuri ya kuikweli ambayo CCM ingepigwa chini hata kabla ya uchaguzi!.
Pasco
 
Prof. Shivji ni mwalimu wangu pale Udsm na mimi ni miongoni mwa wale wanafunzi wabishi, waliobishana hadi na walimu wao!.
Baadhi ya tofauti tulizotofautiana na mwalimu wangu ni Prof. Shivji anakubali kuwa the end justifies the means, mfano Muungano ni halali na katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977 ni katiba halali hata kama njia zilizotumika sio halali!.

Kisheria, jambo likishafanyika ndivyo sivyo, huwa linakuwa halipo, tukiita "ab initio". Kupitia somo la sifa za mikataba, contacts, hati za muungano sio mkataba bali ni makubaliano tuu.

Pili kwa vile makubaliano hayo hayakuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, then kiukweli kabisa bila mashaka wala kumung'unya maneno, " Muungano Si Halali" ab initio!. Vivyo hivyo kwa katiba yetu hii iliyopo sii halali kwa msingi kwa katiba iliyoundwa bila kufuata principles za constitutionalism sio constitutional halali!.

Kwenye somo la jana akielezea sifa za wajumbe wa tume ya kukusanya maoni alisisitiza wasiwe wanasiasa!. Hivi waliojaa mle ndani ni kina nani tukianzia kwa Jaji. Warioba!.

Kwa maoni yangu, Prof. Issa Gulamhusein Shivji ndiye aliyepaswa haswa kuwa mwenyekiti wa tume ile!.

JK aliogopa kumteua huyu jamaa kwa sababu ni mkweli mno hivyo angeweza kutupatia katiba nzuri ya kuikweli ambayo CCM ingepigwa chini hata kabla ya uchaguzi
!.

1; Kwenye RED bila shaka ulimaanisha Contract kwa maana ya Agreement, pact or treaty na sio CONTACT.

2; Kwenye BLUE. Hapo ndipo huwa naona sura ya pili ya Pasco ya kukubali ukweli wa mambo. Ni mara chache tunatofautiana kama kule Arumeru ulipodai lazima CCM ishinde wakati hakukuwa na hoja za msingi kuipa gamba ushindi kule. Sometimes huwa nakubaliana nawe mfano unapotetea kuwa EL ni better than mtoto wa mkulima even mkwe're kiuongozi.

Lakini leo hapa nakubaliana nawe 100%
 
Prof. Shivji ni mwalimu wangu pale Udsm na mimi ni miongoni mwa wale wanafunzi wabishi, waliobishana hadi na walimu wao!.
Baadhi ya tofauti tulizotofautiana na mwalimu wangu ni Prof. Shivji anakubali kuwa the end justifies the means, mfano Muungano ni halali na katiba ya Tanzania ya Mwaka 1977 ni katiba halali hata kama njia zilizotumika sio halali!.

Kisheria, jambo likishafanyika ndivyo sivyo, huwa linakuwa halipo, tukiita "ab initio". Kupitia somo la sifa za mikataba, contacts, hati za muungano sio mkataba bali ni makubaliano tuu.

Pili kwa vile makubaliano hayo hayakuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, then kiukweli kabisa bila mashaka wala kumung'unya maneno, " Muungano Si Halali" ab initio!. Vivyo hivyo kwa katiba yetu hii iliyopo sii halali kwa msingi kwa katiba iliyoundwa bila kufuata principles za constitutionalism sio constitutional halali!.

Kwenye somo la jana akielezea sifa za wajumbe wa tume ya kukusanya maoni alisisitiza wasiwe wanasiasa!. Hivi waliojaa mle ndani ni kina nani tukianzia kwa Jaji. Warioba!.

Kwa maoni yangu, Prof. Issa Gulamhusein Shivji ndiye aliyepaswa haswa kuwa mwenyekiti wa tume ile!.

JK aliogopa kumteua huyu jamaa kwa sababu ni mkweli mno hivyo angeweza kutupatia katiba nzuri ya kuikweli ambayo CCM ingepigwa chini hata kabla ya uchaguzi!.

Nafikiri katika elaboration yake alitolea mfano katiba ya makaburu, kwamba ikishapita inakuwa halali kwa walioipitisha. Lakini dhana ya demokrasia inapotea, na hivyo hiyo katiba inakuwa sio ya umma, inapoteza uhalali kwa umma. Kwa hiyo kunakuwa na aina fulani ya udikteta wa dola. Tusivuruge somo la Profesor. Sikumbuki kama alisema kwamba ni halali au la. Ila inakuwa haina taswira ya umma, lakin tayari inakuwa sheria mama, na dola inaitumia. Na ndio maana katika historia ya katiba, alizikasoro zote katika utaratibu wa upatikanaji wake.
 
Hapana, ITV wamuombe Prof kuendelea na maada mbalimbali za katiba. Hili la DVD sawa lakini ni kwa wachache sana. Sasa wabuni mkakati wa Radio one na Prof shivji. Waacheni TBC walale.

Huwa nashindwa kuelewa SALMA wa MKASI anaweza kuweka vipindi vyake kwenye YOUTUBE vyote, Kwanini wengine wanshindwa?
Nadhani hili linawezekana kama kuna mdau yeyote wa ITV afuatilie hiliswala kwa ukaribu na hivi vipindi vingewekwa kwenye You tube kam MKASI.
 
mkuu nani kakwambia prof ni mpemba???fanya utafiti sio unatoa povu tu.

Kwa taarifa yako prof Shivji ni mtanganyika, mhaya wa hamgembe bukoba na anachapa kihaya kama anakili nzuri...muulize mshikaji wake Jenerali Ulimwengu!
 
Wakuu jana nimeangalia mhadhala juu ya katiba ulioendeshwa na Prof. Shivji kupitia ITV, lazima nikiri mzee huyu mbali ya kuwa na weredi wa kupindukia kwenye medani ya sheria na katiba ni mzalendo wa kutukuka. Anaelimisha vizuri sana suala zima la maana na umuhimu wa katiba, historia ya katiba, mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.

Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.

Na wewe kuwa mzalendo wa kweli kwa kuandika Kiswahili stahiki, ni mhadhara.
 
Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.

Huwezi kusukuma gari ukiwa ndani yake.wame mwacha sasa ana sukuma gari vizuri akiwa nnje.
 
Viva prof... Piga kazi tunalifuatilia darasa kwa makini, na kwa hakika tunahitaji hizo dvd, itafaa hata kwa kutumia vi-jenereta huko vijijini kuwawekea ndugu zetu wapate elimu stahili. Hongera na kazi mbele prof.
 
1; Kwenye RED bila shaka ulimaanisha Contract kwa maana ya Agreement, pact or treaty na sio CONTACT.

2; Kwenye BLUE. Hapo ndipo huwa naona sura ya pili ya Pasco ya kukubali ukweli wa mambo. Ni mara chache tunatofautiana kama kule Arumeru ulipodai lazima CCM ishinde wakati hakukuwa na hoja za msingi kuipa gamba ushindi kule. Sometimes huwa nakubaliana nawe mfano unapotetea kuwa EL ni better than mtoto wa mkulima even mkwe're kiuongozi.

Lakini leo hapa nakubaliana nawe 100%
Mwana Mpotevu,
1. Kwanza asante kwa marekebisho.
2. Arumeru nilikubali matokeo ila kabla ya uchaguzi nilitoa angalizo la EL asikanyage Arumeru angemponza Sioi, hakusikia, akamponza!.
3. Kwa upande wa EL, the dude is dam gud!. Ukiondoa pakacha la Richmond alilojitolea kulibeba, dhambi zake nyingine kama kutembeza vile vi little brown envelopes kila kona ni uoza na uvundo wa CCM yote!.
4. Kiukweli, dozi ya Katiba Prof. Shivji anayoishusha ni zaidi ya darasa!.
 
namkubali sana huyo prof,anaelezea k2 hadi unashindwa hata kupata swali la kumuuliza,anajua akifanyacho kwa kweli,ni smart mnoo,hongera kwake na allah amjaalie aweze kutoa kila kizuri alichonacho kwa faida ya taifa letu la tz
 
Jk Kikwete asingeweza kuteua wasomi wote waliobobea katisha sheria na katiba, isingewezekana! Lakini swala la kum ignore Prof Issa Shivji sikubaliani naye KABSAAA! Basi tu watz tuliowengi tulitarajia kumwona katika orodha ya tume hii.
 
Profesa Issa Shivji live ktk ITV ktk mhadhara wa mijadala huru kuhusu katiba:



Video kwa hisani ya Tangibovu wa Youtube
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.

A blessing in disguise, mingine ni mipango ya Mungu. Jiulize angechaguliwa tungeyapataje haya masomo. Nasikitika hayawafikii wengi wawatanzania -sijui wanatume ya Warioba wanayachukulia vipi(nionavyo mimi yanabadilisha kabisa way foward na mchakato wetu wa katiba mpya)
 
Kwa taarifa yako prof Shivji ni mtanganyika, mhaya wa hamgembe bukoba na anachapa kihaya kama anakili nzuri...muulize mshikaji wake Jenerali Ulimwengu!

Issa G. Shivji

Issa G. Shivji (born 1946) is an author and academic, and one of Africa's leading experts on law and development issues. He has taught and worked in universities all over the world. He is a prolific writer and researcher, producing books, monographs and articles, as well as a weekly column printed in national newspapers.[1]

HideBiography

Born in Kilosa, Tanzania in 1946, Professor Shivji was for 36 years a distinguished professor in Constitutional Law in the University of Dar es Salaam's Faculty of Law. He is a professor of international renown, having built his reputation through the publication of over 18 books, numerous articles and book chapters. Shivji has served as advocate of the high court and the Court of Appeal of Tanzania since 1977 and advocate of the high court in Zanzibar since 1989. He has received several national and international distinguished scholar awards, including an honorary doctorate from the University of East London, UK. Professor Shivji has devoted most of his life to addressing issues on the exploitation of Tanzanians through both the national and the international economic and legal orders.[2] Issa Shivji presently occupies the Mwalimu Julius Nyerere Research Chair in Pan-African Studies of the University of Dar es Salaam. Most recently, he has been working on the political economy of economic reforms in Tanzania. While mostly based in Tanzania, he has been visiting professor in various locations: El Colegio De Mexico, the University of Zimbabwe, the University of Warwick, the National Law School of India University, the University of Hong Kong, the Centre of African Studies of the University of Cape Town, South Africa, and CODESRIA, Dakar, Senegal.[3][4][5]
 
Hivi nyiye mbona wakosefu wa akili sasa kizaliwa wapi inahusu nini,jambo la kuzingatia ni kazaliwa Tanzania na still yupo kwenye ardhi hii ikiwa kama MTZ basi,ebu acheni ukabila ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom