Recent content by Abayesu bayesu

  1. A

    Afrika Kusini: Mchungaji Alph N Lukau afufua maiti na kuacha gumzo kubwa

    Ndiyo na naendelea kuwafanya dunia nzima kuwa wanafunzi wa Yesu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Afrika Kusini: Mchungaji Alph N Lukau afufua maiti na kuacha gumzo kubwa

    Kama hatutasoma maneno ya Mungu wenyewe na kumuomba roho mtakatifu msaada hakuna namna ni ni kupotea maneno ya Mungu yanasema ijaribuni kila roho mpate kujua kama ni ya Mungu au shetani Badilisha maisha yako soma sana neno na sali sana Mungu atakuongoza ila ukiwa na nguvu za roho mtakatifu...
  3. A

    Afrika Kusini: Mchungaji Alph N Lukau afufua maiti na kuacha gumzo kubwa

    Biblia inasema tutawatambua kwa matunda yao kuwa tajiri sio shida wengine wamebarkiwa na Mungu ili mradi mtu ahubiri injili ya kweli azingatie misingi ya Kristo (imani na kiroho )huku akiwakumbusha wanadamu kutubu dhambi kuwekeza mbinguni kuliko duniani ( Sent using Jamii Forums mobile app
  4. A

    Afrika Kusini: Mchungaji Alph N Lukau afufua maiti na kuacha gumzo kubwa

    Soma mathayo 10:8 Mambo yanajueleza ila hatusomi biblia ndo tatizo hakuna cha ajabu hadi unamuita mtumishi wa Mungu tapeli Sent using Jamii Forums mobile app
  5. A

    Aliyemkashifu marehemu mtume Muhammad aachiwa huru na mahakama ya juu Pakstan

    Vyovyote vile Yesu ndiye wa kwanza na mwisho hakuna mwingine na kamwe hatakuwepo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. A

    Aliyemkashifu marehemu mtume Muhammad aachiwa huru na mahakama ya juu Pakstan

    Kwa vyovyote vile Sent using Jamii Forums mobile app
  7. A

    Aliyemkashifu marehemu mtume Muhammad aachiwa huru na mahakama ya juu Pakstan

    Usiwe na shaka ndiye mwana wa Mungu pekee ambaye amekuja duniani kuleta ukombozi kwa kipigo chake pale msalabani sisi tumepona na hizi sheria zake na ustaarabu ndiyo unaotumika kwa mataifa mengi yeye ndiye baba wa amani na ukifa ndiye mtu wa kwanza kukutana naye.Tangu sasa omba kwa jina lake...
  8. A

    Yaliyojiri kikao cha dharura UN kujadili Gaza

    Tangu enzi ndo hivyo Soma waamuzi1:1-10 1 Ikawa baada ya kufa kwake Yoshua, wana wa Israeli wakamwuliza BWANA, wakisema, Ni nani atakayekwea kwanza kwa ajili yetu juu ya Wakanaani, ili kupigana nao? 2 BWANA akasema, Yuda atakwea; tazama, nimeitia hiyo nchi mkononi mwake. 3 Ndipo Yuda...
  9. A

    Namna ya kumtambua mwanamke mpumbavu na mwanamke mwerevu

    Barikiwa mtoa mada umeniongezea kitu
  10. A

    Walokole kwenye hili jukwaa mnafata nini? Nendeni kwenye jukwaa la dini

    Kutwa kuzungumzia mapenzi Ni yale yale walianza Adam na Hawa wakayaacha, sodoma na gomora wakafanya ya machukizo wakaharibiwa vibaya mno Bibi na babu wamefanya wameyaacha Wazazi wetu wamefanya wameyaacha Na sisi pia tutayaacha hakuna jipya chini ya jua yote tunayoyaona yalikuwepo Hakunal sehemu...
  11. A

    Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu ya Acacia wandamana kuelekea ofisi za NSSF

    Mungu awatetee wapate haki yao Tusiwadhihaki jamani kama umejaliwa mshukuru Mungu
Back
Top Bottom