Kama hatutasoma maneno ya Mungu wenyewe na kumuomba roho mtakatifu msaada hakuna namna ni ni kupotea maneno ya Mungu yanasema ijaribuni kila roho mpate kujua kama ni ya Mungu au shetani Badilisha maisha yako soma sana neno na sali sana Mungu atakuongoza ila ukiwa na nguvu za roho mtakatifu...
Biblia inasema tutawatambua kwa matunda yao kuwa tajiri sio shida wengine wamebarkiwa na Mungu ili mradi mtu ahubiri injili ya kweli azingatie misingi ya Kristo (imani na kiroho )huku akiwakumbusha wanadamu kutubu dhambi kuwekeza mbinguni kuliko duniani
(
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma mathayo 10:8 Mambo yanajueleza ila hatusomi biblia ndo tatizo hakuna cha ajabu hadi unamuita mtumishi wa Mungu tapeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe na shaka ndiye mwana wa Mungu pekee ambaye amekuja duniani kuleta ukombozi kwa kipigo chake pale msalabani sisi tumepona na hizi sheria zake na ustaarabu ndiyo unaotumika kwa mataifa mengi yeye ndiye baba wa amani na ukifa ndiye mtu wa kwanza kukutana naye.Tangu sasa omba kwa jina lake...
Tangu enzi ndo hivyo
Soma waamuzi1:1-10
1 Ikawa baada ya kufa kwake Yoshua, wana wa Israeli wakamwuliza BWANA, wakisema, Ni nani atakayekwea kwanza kwa ajili yetu juu ya Wakanaani, ili kupigana nao?
2 BWANA akasema, Yuda atakwea; tazama, nimeitia hiyo nchi mkononi mwake.
3 Ndipo Yuda...
Kutwa kuzungumzia mapenzi
Ni yale yale walianza Adam na Hawa wakayaacha, sodoma na gomora wakafanya ya machukizo wakaharibiwa vibaya mno
Bibi na babu wamefanya wameyaacha
Wazazi wetu wamefanya wameyaacha
Na sisi pia tutayaacha hakuna jipya chini ya jua yote tunayoyaona yalikuwepo
Hakunal sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.