Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya dhahabu ya Acacia wandamana kuelekea ofisi za NSSF

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Uchimbaji dhahabu ya Acacia wa migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi wilayani Kahama, wameandamana hadi ofisi za Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakitaka kulipwa sitahiki zao baada ya kuondolewa kazini
 
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Uchimbaji dhahabu ya Acacia wa migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi wilayani Kahama, wameandamana hadi ofisi za Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakitaka kulipwa sitahiki zao baada ya kuondolewa kazini
Wakati ile sheria inapitishwa walikuwa wapi, hapo ndiyo watajua kwa nini sgr inajengwa kwa hela ya Serikali bila msaada
 
Wacha waisome namba vizuri tu. Saizi kila mtu ataandamana kivyake vyake akisomeshwa tu namba anaandamana
 
Ee bhana ee, umeajiriwa juzi hapo Lumumba au? Maana kila comment wewe uko wa kwanza kureply. Alikuwepo Lupyee na Lizaboni sijui wako wapi kwa sasa.

Kumbe na we we umeuona huu msukule wa Lumumba
 
Watafute ajira mpya mafao 55 years
kijana unaweza kuvaa kiatu cha mmoja wapo wanaoandamana
au kiatu chako unakula na kusaza maisha mazuri madem nini kibao sim kali nini au sio
maunyunyu kibao nini mshahara milioni kwa mwezi nini ..umepanga masaki nini mzee una drive vogue au sio mzee ndio mana una uwezo wa kuwadhihaki hao wengine wanaojaribu kutafuta haki zao ili familia zao ziendelee ku survive
 
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Uchimbaji dhahabu ya Acacia wa migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi wilayani Kahama, wameandamana hadi ofisi za Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakitaka kulipwa sitahiki zao baada ya kuondolewa kazini


Kwani imeshakuwa Sheria? Kama tayari basi watafute kazi nyingine tu!
 
Wafanyakazi wa ACACIA hasa wa zile post za internal wengi wao ni Wasukuma. 2014 October nilikuwa Bulyanhulu kufanya kazi ndani ya mgodi wa Acacia kupitia kampuni tanzu( Jina kapuni) zilitoka chance mwanzoni mwa 2015 nikaaply nikaachwa kisa mimi si msukuma na baadhi ya Wasukuma niliowazidi vigezo mara dufu wakachukuliwa. Leo wameachishwa kazi nami nimepata permanent chance gvt.
Hawa wengi ni FISIEM ngoja wanyooshwe.
"But I say unto you, Love your enemies, bless them that curse you, do good to them that hate you, and pray for them which despitefully use you, and persecute YOU "
 
Shida ni kwamba pale bunge lenu linapitisha sheria za kuwaumiza nyie wa tz, Mtu akilalamika mnamuona mpuuzi, anatamaa, hajielewi.
Kwasababu wewe hayakugusi.

Siku yakikuhusu na kukugusa ndio mnaelewa na kuandamana.

Wakati hii sheria inajadiliwa kupitishwa ckusikia hata maandamano.

Sasa pale mtu umepunguzwa kazini, halafu muajiri anakuambia mafao yako yapo nssf, ml 70. Ukienda huko sasa ukutane na figisu za sheria ,ndio unapoelewa kwamba kumbe issue yeyote ikijadiliwa bungeni kuba ulazimu wa kuangalia kama ina maslahi kwa wananchi. Na kupija kelele au kuipinga kupitishwa kwake kwa namna yeyote. .
 
Jamani hili suala lilishafungwa. Tumeshapigwa hapa wafanyakazi. Hatuna chetu tena. Hali ya kifedha ya mashirika haya ya hifadhi ya jamii haiwezi kumudu kuwalipa wafanyakazi endapo tukio kama hili likatokea kwa makampuni mengi kwa mkupuo ndio maana sheria ikaja kulinda liquidity ya haya mashirika . Serikali ni mdaiwa sugu wa haya mashirika. Wanaahidi tu watalioa watalipa week in month out
 
Wafanyakazi wa ACACIA hasa wa zile post za internal wengi wao ni Wasukuma. 2014 October nilikuwa Bulyanhulu kufanya kazi ndani ya mgodi wa Acacia kupitia kampuni tanzu( Jina kapuni) zilitoka chance mwanzoni mwa 2015 nikaaply nikaachwa kisa mimi si msukuma na baadhi ya Wasukuma niliowazidi vigezo mara dufu wakachukuliwa. Leo wameachishwa kazi nami nimepata permanent chance gvt.
Hawa wengi ni CCM ngoja wanyooshwe.
Chuki imekujaa mkuu.. Mrudie Muumba
 
Back
Top Bottom