Chelsea haijawahi kuogop timu zikiwa kwenye ubora wao
Barcelona kwenyr ubora wake kafungwa
Bayern kwenye ubora wake kafungwa
Man city kwenye ubora wake kafungwa
Chakujiuliza :kwanin watabiri wameipa chelsea asilimia kubwa kuchukua kombe?
Jpili sio mbali
Leo tupe source kwa sabb umezidi yan masaa 48 israel yy anashambuli tu mafuta anajaza saa ngap hao mapilot wanakula saa ngap zile ndege hazina hata vyoo haja wanaenda saa ngap ?
Brazil vs Italy 1970 in Mexico hii nilishuhudia uwanjani mwenyewe and was my first World cup to attend jamani hii mechi pele kafanya kazi ,sijawah kuona balaa lile tena ,
Brazil alikuwa na watu dah miaka imekwenda.
Rip Pele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.