Recent content by AAJ

  1. AAJ

    Wema Sepetu: Wasanii tunakidai Chama madeni ya uchaguzi 2015, Tunaambiwa nendeni mkamdai Kikwete

    Anamtaka demu akimkataa unapewa jina kuwa una deal na sembe
  2. AAJ

    CHADEMA imekuwa dampo la CCM

    Only the stupid man he can say such Stupidity.
  3. AAJ

    Kumbe rais huwa anarithishwa hata mlinzi wake {body}

    Ili uache kumlinda Rais moja labda upatwe na ugonjwa flani (maradhi) pili labda ufikie umri wa kustaafu kisheria na tatu labda upandishwe cheo. Mfano huyo unaesema karisishwa akipandishwa cheo na umri wa kustaafu ukiwa bado itabidi arudi jeshini aendelee kulitumikia jeshi kwa cheo chake kipya...
  4. AAJ

    Kama walimfukuza Zitto kwa kwenda mahakamani huko kisutu wanafanya nini?

    Huyo chizi unapoteza muda kumwelekeza. Alimradi ana smartphone na kifurushi anandika upupu.
  5. AAJ

    Je, kuna uwezekano Yusuph Manji anamiliki pia pasi ya kusafiria(Passport) ya nchi nyingine?

    Makosa yepi acheni vyombo husika vije na ukweli kwenye uchunguzi wao. Kuliko kuropoka ropoka tu
  6. AAJ

    Halima Mdee amjibu Rais Magufuli kuhusu madawa ya kulevya

    Wewe ndo hujitambui. Mdee amesema ukweli vita dhidi ya dawa za kulevya inahitaji hela na bajeti inayoishia hakuna fungu kabisa linalo onyesha kuwa kuna fungu la fedha kwaajili ya kupambana na dawa za kulevya. Je hapo utakuwa unapambana au story?.
  7. AAJ

    Kauli hii ya Kardinal Pengo,inatukumbusha "upande wa pili" wa Kanisa Katoliki

    Nchi ipo katika kipindi kigumu sana nani hatari sana kwa mtu credible kama yeye kuongea vitu km hivyo ila naamini hata mji wa mwizi waweza ibiwa pia vivyo hivyo hata viongozi wetu wa membalini na altare wanaweza pitiwa na shetani huko huko membalini na altareni kama waumini wengine wapitiwavyo...
  8. AAJ

    Rais Magufuli kuvunja rekodi ya Rais wa Uruguay?

    Kulazwa kwenye muhimbili kwahiyo ndo sifa? Panuka kiakili
  9. AAJ

    Hatimaye ZIKA Tanzania ndani ya CCTV

    Kaka umeua haaaah haaaah
  10. AAJ

    Hatimaye ZIKA Tanzania ndani ya CCTV

    Research results can be nullified by research results too. Kusema uhaini mtu kutoa majibu ya research huu ni upumbavu hali ya juu.
  11. AAJ

    Tukumbushane vipindi na tamthilia maarufu za kwenye TV za kipindi hicho. Mnakumbuka wapi?

    Haaaah haaaah! Africa soccer show chini ya uzamini wa beer ya castle larger wenyewe walipenda kuiita beer balanced to perfection. ITV walikuwa na vipindi kama vya magic moment na Vibe.
  12. AAJ

    HESLB kukata 15% ktk Mishahara ya wanufaika: Sheria haiwezi kutumika retrospectively

    Kweli ni nimeamini kuna watu akili zao zipo mfukoni. Mtoa maada amezungumzia kuwa wadaiwa walokopa kwa makubaliano 8% itakuwa siyo vema kuwa kata 15% ambayo haikuwepo wakati wanaingia mkataba wa kupewa mkopo kwahiyo ni vizuri waje wakatwe wale ambao watakuta sheria ya kukatwa 15 % ya kipato...
  13. AAJ

    HESLB kukata 15% ktk Mishahara ya wanufaika: Sheria haiwezi kutumika retrospectively

    Pathetic laws Pathetic system Pathetic judges
Back
Top Bottom