Wakuu habari za muda huu, nimefanya tafiti ya wafugaji wengi wa samaki hupendelea kufuga sato na kambale, sijabahatika kuona sangara. Mwenye utaalamu na hili anijuze je, sangara hawafugiki kwenye mabwawa ya kujengwa kwa cementi?
Baada ya man u kumpiga Liverpool magoli manne pre season, walitamani msimu uanze sasa msimu umeanza wanatamani uishe, ndo kwanza kipigo kikubwa ni kutoka kwa Brentford tu na hajakutana na pep, jurgen k, conte na tomas T.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.