Recent content by Aab2

  1. A

    Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!

    muhimu mkuu naamini ni hapo kwenye sukari, achana na chai nyakati za usiku mkuu
  2. A

    Mkoa gani hautamani kuishi hapa Tanzania?

    Tabora, kigoma,Dodoma,singida weka mbali na mimi
  3. A

    Kwako Rais Samia, sisi Askari tunaomba utuongezee maslahi

    nyongeza yenu ni ile ya kiwi. Ova.
  4. A

    Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)

    Kila mtu ashinde mechi zake alooo!
  5. A

    Kusoma sana ni uoga wa maisha na umburula pia

    Sio lazima kila mtu asome, kuna wengine wakishajua kusoma na kuandika inatosha.
  6. A

    Kwanini mtu mwenye pesa anakuwa na dharau??

    Nafkiri mkuu sio wote ila wengi wenye pesa wana confidence ya hali ya juu sana.
  7. A

    Siku ya kwanza huyu mtangazaji nilihisi mwanaume

    Hapana mkuu, ni mganda
  8. A

    Siku ya kwanza huyu mtangazaji nilihisi mwanaume

    Dahhh kuna mwamba mmoja pale DW anaitwa iddi sessanga, jamaa yule ana sauti ya utangazaji bhan!
  9. A

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Wakuu habari za muda huu, nimefanya tafiti ya wafugaji wengi wa samaki hupendelea kufuga sato na kambale, sijabahatika kuona sangara. Mwenye utaalamu na hili anijuze je, sangara hawafugiki kwenye mabwawa ya kujengwa kwa cementi?
  10. A

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Baada ya man u kumpiga Liverpool magoli manne pre season, walitamani msimu uanze sasa msimu umeanza wanatamani uishe, ndo kwanza kipigo kikubwa ni kutoka kwa Brentford tu na hajakutana na pep, jurgen k, conte na tomas T.
  11. A

    Watu wa Mbeya huwezi kuwaambia chochote kuhusu Sauli yao

    Wakurya huwaambii kitu kwa zakaria.
Back
Top Bottom